Natumai hamjambo wakuu.
Mara kadhaa nimekutana na hii kadhia kwa baadhi ya wanawake nikiwa mchezoni, unakuta gegedo limekolea mwenzako anadai mkojo umembana sana hivo anaomba akakojoe kwanza.
Cha ajabu akienda kukojoa akirudi anakwambia mkojo hautoki mnaendelea na game, ukweli wakuu nimeshindwa kuli-experience jambo hili hivo nahitaji usaidizi kwa wenye ujuzi nalo, ili nijue huko kubanwa husababishwa na nini na ni kwa nini mkojo hautoki akienda kukojoa?
Mara kadhaa nimekutana na hii kadhia kwa baadhi ya wanawake nikiwa mchezoni, unakuta gegedo limekolea mwenzako anadai mkojo umembana sana hivo anaomba akakojoe kwanza.
Cha ajabu akienda kukojoa akirudi anakwambia mkojo hautoki mnaendelea na game, ukweli wakuu nimeshindwa kuli-experience jambo hili hivo nahitaji usaidizi kwa wenye ujuzi nalo, ili nijue huko kubanwa husababishwa na nini na ni kwa nini mkojo hautoki akienda kukojoa?