Habari zenu jf
Huyu mgeni wa tbc kwenye taarifa ya habari anasema nchi ina wagonjwa wa korona 200 kwa sasa wanajulikana ni wagonjwa walitoka nje ya nchi tu hili limekaaje? Ama sikusikia vizuri ama amepotosha umma
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mgeni wa tbc kwenye taarifa ya habari anasema nchi ina wagonjwa wa korona 200 kwa sasa wanajulikana ni wagonjwa walitoka nje ya nchi tu hili limekaaje? Ama sikusikia vizuri ama amepotosha umma
Sent using Jamii Forums mobile app