Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 elimu yangu kidato cha 4 katika harakati zangu za utafutaji wa pesa nimefanikiwa kuanzisha duka.
Kiukweli mwanzo kipindi naanza hali ilikua ngumu sana kwani mtaji wangu ulikua mdogo, lakini namshukuru Mungu amenisaidia hadi leo biashara...
Tbc ndio channel ambayo haipo kibiashara inatumia kodi zetu kujiendesha so inapatikana bure.
Lakini channel kama Itv, Star tv, clouds,nk hadi ulipie ndio unazipata kutokana na Azma Tv company wanazilipia zile channel ile ziwepo kwenye king'amuzi chao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.