Mrejesho kuhusu biashara yangu ya Duka

Wajasiriamali wengi mnapotoshwa sana na ivo semina uchwara.

Swala la kujilipa katika biashara yako ni lazima..na wataalam kama Patbet david au R. Kiyosaki wanasisitiza kuwa ata zile siku unazopata hasara kabisa toa mshahara wako ndio mambo mengine yafuate.

Kwa nature ya biashara yako ww kufilisika ni kugusa tu.. na iyo ni sabab kuwa faida unaiwekeza kweny biashara yote na mshahara wako.

Pay your self first!! Binafsi niko tayar nisilipe kodi ila nimeshajilipa mshahara wangu..na hii inanisaidia kutengenisha dharula zangu na mtaji wa biashara.

Jilipe kijana..kama faida ni laki mbili kwanini usitoe elf 50 kama mshahara..
 
Ungetueleza mtaji wako umefikia kiasi gani kwasasa? Pia ungetusaidia wastani wa faida yako kwa mwezi baada ya kutoa kodi tungekushauri vizuri zaidi.
 
mkuu ni Duka la bizaa ndogo ndogo Kwa kawaida inakua ngumu kupiga hesabu ambayo ipo fixed kwasababu bizaa frani ikiisha nanunua nyingine but nikikaa ndani ya mwezi bila kwenda nunua vitu ndani ninakua na olmost 5 milion
Mkuu jilipe mshahara kidogo ili sehemu nyingine ya faida yako uwekeze kwengine. Mi nashauri anza kwa kujilipa laki 3 ili uangalie sustainability ya biashara yako kwa kujilipa mshahara huo kama itaendelea vizuri au kutakuwa na kuyumba. Kujilipa mshahara ni jambo la muhimu sana. Pia faida inayopatikana zaidi endelea kuwekeza kwenye fursa nyingine zilizopo ambazo zinahitaji usimamizi usio wa karibu sana.
 
Mkuu, wewe utakuwa mchagga. Duka lina cement, bei, chumvi, vifaa vya baiskeli na oil humo humo hahahahhaa
 
Back
Top Bottom