Naomba kusaidiwa ufafanuzi baina ya maneno haya mawili :
1. Repeat
2. Again
sijakurupuka ktk kayauliza nimeshayafanyia uchunguzi wa kina nakuta mwishoe ktk matumizi yanaleta tendo la kufanana mf. Ukimwambia mtu
-Repeat drawing
- Drawing again
Tendo linakua la kufanana ndy kusema haya...
Nkamba uko sahihi bt ukimkuta mtu anaoga chooni na bafu lipo mayb yuko na stress! So far unamtoa chooni kisha humuoneshi bafu there4 akaoge wp? Muelekeze jukwaa ikibidi umtiririshie mapembuzi ya 5 star sisi wengine vwango vye2 ni kwenye "guest bubu" na zile "sisi kw sisi guest house"
Wote kumbe mko nyuma ya wkt ktk ma'B/news! Hizo ndy ndege mpya za ATCL ilikua zifike jana lkn kw 7bu za kiitelejensia tukazichelewesha Source : David's Mattaka wife
Bwa'mdg maliza 1 then next! Unataka chai, chakula cha mchana na ucku at the same tym! Sio utaratibu! Itifaki siyo! Maliza kitabu siasa utaikuta tu! Haina pakwenda.
Hapa mkubwa umeuliza SIFA hujauliza TABIA kl ki1 ktk hivyo ni muamala tofauti! Khs SIFA ili uzielewe hicho ni ktengo cha chumbani tn Ktandani huko ndy utazijua Sifa timbwiri utakalokutana nalo hapo ndy utajua msichana hucka ana acli ya Mtwara,Lindi,Tabora e.c.t Aidha kw sisi 2lio ndoani haitakua...
Ni mara ngp 2nawaona wanaume anashinda juani with task work au anakesha gizani uck baridi yake, Mbu wake kw kz ya ulinzi anamlinda mwanaume mwenzie ambapo tajiri ndani yuko juu ya kifua! (hutokea several tyms) then cku anapokea salari anakwnda muhonga dem malaya nusu ya salari au 3 quotar ya...
John II ! Th's news we need. Unatushushia v2 vnaeleweka, na ni kwl kw 2lio mbali (km mimi niko Mwz) Mwanahalisi kufika ni jioni, "data with testmon" namna gani inaonesha your parents hawakupoteza mikwanja yao kukupeleka shule! Unaweza ukajiuliza ni kw nini nakupa uzito nna specific means! Jana...
Eee bwnaee biashara hapo kwnz nijiokoe mie ! Nikilemaa nadedishwa! Huyo anaem'ngata my wife c ndy ntakua nimemuachia bingo? Aanze kumsukumia mpini km hana akili nzr! Mi nasevu kwnz, najua my wife ki2 yake ni asset (unmovable) ni km njia ya meli haiachi alama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.