Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili,ila huyu mama ni muelewa nahisi mumewe hapati tabu.Ila jibu sina
amtoe wapi?
Kile kichwa sio kizima
otis
great thinking in a simple mind.... a dangerous cocktail for one to have in his/her gut
tukiishiwa hoja huwa tunaleta viroja
Margaret Thatcher, the iron lady and past British PM is married to Dennis. She used (i am sure she still does) cook to her husband. What is the big deal?
Hata kama hana mume huwezi kumfananisha na ANNA MAKINDA
Nimesha wasilisha kw Mods waache kuuza pombe humu Jf, ona wateja zake mlivyopombeka ktk agenda hii ya Nkya? Kl mtu anaongea kvyake!
Hivi kinachoolewa ni kichwa pekee..??Amtoe wapi?
Kile kichwa sio kizima
OTIS
Huyu Mama ana mume na watoto. Nyumbani kwake mume na mke ni wakarimu sana nimeshawatembelea mara nyingi
Hivi kinachoolewa ni kichwa pekee..??
acha urongo Prof Nkya mkewe ni yule mama waziri serikal ya magamba na mwanae m/kiti UVCCM mkoa pale morohuyu mama mme wake ni lecturer mzumbe university morogoro anaitwa professor nkya.
Huyu mama ana misimamo sana ambayo kwa wanaume huwa inakuwa vigumu sana kukubaliana nayo, sasa naomba mnijuze ana mume au amewahi kuolewa?