Kwa mnaofahamu au pengine mna exposure katika nchi za wenzetu, hivi tunaposema Hotel hii ni ya nyota 5 maana yake ni nini? Mfano nikijenga Hotel yangu sehemu nzuri tu tuseme kwenye prime area, hotel nzuri na kubwa naweza kuibuka tu na kuita ni hotel ya nyota 5 au kuna viwango vya kuzingatia! Sielewi naomba vigezo au criteria zinazotakiwa hadi Hotel iwe na hadhi ya kuwa FIVE STAR