Mwenzenu sijalala bado najigongea vyombo....cha ajabu hata sijisikii kwenda kupumzika,......yaani huyu alietengeneza castle lite mungu ampe maisha marefu........yaani haya maji ni matam balaa.
Naweza kusajiri kikosi chote cha mikia, kuanzia bench la ufundi, viongozi pamoja na wachezaji nikawapeleka coco beach wakarukaruka tu kisha nikawalipa mshahara........Manji akiwaambia makolokolo fc kabla hajapimwa mkojo.
Habalini wakuu... Moja kwa moja naomba niingie kwenye maada...Ni mda nikisikia kua kuna uhitaji wa bidhaa za mjerumani, hasa pasi....
Je ni kweli pasi hiyo ukiipata ni Mali na soko likoje na liko wapi?.....
Tafadhali kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu bidhaa tupatieni
maelezo.
Huyu Hamza alipokonywa dhahabu zake na mapoliccm.....ndio maana waona baada ya kuwashindilia chuma wale wawili, alikua akiwatafuta wengine.....ktk dunia hii hakuna awezae kukwapuliwa dhahabu akashindwa kujisakirifai,au nasema uongo ndugu zangu? All in all Hamza is Tanzanian hello!
Huyu kada wa ccm sio gaidi, kwasababu alikua akijaribu kukomboa dhahabu zake alizopokonywa......Hebu jiulizeni,Ni nani awezae kuchukuliwa dhahabu zake akakaa kimyaaa! R.I.P Hamza mungu wa izirael yu nawe daima.
Hahahaha.....nimeshagegeda kabamedi ndani ya chooo kwenye bar moja kinondoni...pia nimewahi kugegeda stuff mwenzangu store nikiwa job, yaani hii kitu ni balaa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.