Kwanini Unatumia Jina langu mkuuNi watu wenye low thinking capacity wanaomshabikia. Hajawahi kutumia akili kwenye misiba au matukio ya vifo
Aaah umetumia jina uniqueKwanini Unatumia Jina langu mkuu
Ungekula shaba wewe sahivi tungekua tushaweka maturubai kitaani.Ni mie mwanako nilikuwa nimetulia tu nasikilizia huruma za mwana
Ndugu yangu,Kuna watu duniani Wana maudhi Sana, Binafsi simlaumu huyu jamaa kwasababu mimi mwenyewe huwa sipendi mtu kunidharau,kunidhulumu haki yangu, hakika nitakuvuruga kweli kweli.Gaidi hata lingedhulumiwa mke hakuna huruma
Na Yesu pia peace be upon him nae ni gaidi maana nae alikua na ndevu, baba ako kua na ndevu au mwanaume kua na ndevu ni ugaidj. Em kua na akili wewePolisi wafanyie kazi habari zote. Kwamba ni 'msomali' kafuga ndevu inaweza kuwa rahisi kuamin kuwa ni gaidi. Lakini kwamba Polisi walitaka 'kumrusha' madini yake si kitu cha kudharau. Tumewahi shuhudia hayo zamani pia.
Ndo alivyo waaminisha nyie misukule yake kuwa ataishi milele? Nakuonea huruma sana kuwa karai lake.Mbowe yupo na atakuwepo ila uyo wa kwenu alishakufa
Hii ni photoshopEeh makubwaView attachment 1908362
Wakati anajamba ulikuwa wapi?Yule mwela aliepigwa shaba alijamba pwaa.
Lunatic
Ndo alivyo waaminisha nyie misukule yake kuwa ataishi milele? Nakuonea huruma sana kuwa karai lake.
k. a. t. o. m. b. w. eHilo gaidi kutoka somalia hawa wasomali tunawachekea watatuharibia nchi yetu na amani yetu
Tanzanian HELLO ndo nn au umechanganyikiwa na ww, nyie ndo walewaleHuyu Hamza alipokonywa dhahabu zake na mapoliccm.....ndio maana waona baada ya kuwashindilia chuma wale wawili, alikua akiwatafuta wengine.....ktk dunia hii hakuna awezae kukwapuliwa dhahabu akashindwa kujisakirifai,au nasema uongo ndugu zangu? All in all Hamza is Tanzanian hello!
Uchunguz uanze kwenye maneno haya ambayo HAMZA amesikika akiyatoa kabla ya kifo chake, yanatishaTukio la huyu jamaa kufanya haya yote!
Japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari!
Na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
Mama kaeleza.
Polisi wanaongoza kupiga dili
Askari michongo, askari sio wahaminifu, askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329
jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.
kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.
japo nilimuachia mungu
Uchunguz uanze kwenye maneno haya ambayo HAMZA amesikika akiyatoa kabla ya kifo chake, yanatisha
View attachment 1912929
Shujaa wa nn, boyaHamza Hassan Mohamed,kwangu atabaki kuwa shujaa!