Nimeona sehemu wanasema rais wa Guinea amepinduliwa na wanajeshi waasi na anapelekwa kwenye mahakama ya kijeshi
View attachment 1925186
===
GUINEA: WANAJESHI WAMPINDUA RAIS
Wanajeshi wamefunga mipaka ya Guinea na kufunga anga baada ya kufanya mapinduzi na kutangaza kutoitambua Katiba iliyorekebisha na Rais Alpha Conde uwezo wa kuwa Rais kwa mara ya tatu
Mamady Doumbouya amesema Umasikini na rushwa iliyokithiri imefanya wapindue nchi. Hivi karibuni kulikuwa na ongezeko la tozo na mafuta yalipanda kwa 20%
Wanajeshi wametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa chini ya serikali ya mpito baadhi ya video zikimuonesha Rais Alpha Conde akiwa chini ya maafisa wa Jeshi
View attachment 1925186
===
GUINEA: WANAJESHI WAMPINDUA RAIS
Wanajeshi wamefunga mipaka ya Guinea na kufunga anga baada ya kufanya mapinduzi na kutangaza kutoitambua Katiba iliyorekebisha na Rais Alpha Conde uwezo wa kuwa Rais kwa mara ya tatu
Mamady Doumbouya amesema Umasikini na rushwa iliyokithiri imefanya wapindue nchi. Hivi karibuni kulikuwa na ongezeko la tozo na mafuta yalipanda kwa 20%
Wanajeshi wametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa chini ya serikali ya mpito baadhi ya video zikimuonesha Rais Alpha Conde akiwa chini ya maafisa wa Jeshi