Nyinyi munaponda walichofanya wenzenu to a mfano hats kwa kujenga hospital ruzuku zote zinaenda wapi mpaka ofisi munajenga Leo sembuse kuchukua nchi mpaka mukamalize kujenga nchi nzima mtabaki kupiga makelele tu
Nimesoma comments zenu mumenukuu tofauti yeye alisema hakuna kusafilisha mchanga nje ya nchi ndo alienda kama kweli yapo siyo kayakamata tutangulizeni uzalendo munajenga chuki bure
Ccm haifi Leo wala kesho kwa sababu upizani hauna sela mfano Mzuri mwaka juzi chadema walikuwa na sela nzuri sana lakini ccm ikatabua Mapema lowasa akakimbilia chadema nao wakakubali wakawa hawana sela tena maana ilikuwa ccm fisadi Leo fisadi unamukalibisha kwako kuishi utakuwa na sela ngani ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.