Tanzania ya viwanda; Kutoka viroba mpaka makontena ya mchanga

yusuphmarcogaga

Senior Member
Jan 5, 2014
145
161
Wana jf:

Bila kupapasa maneno ni kweli kwamba serikali sikivu ya awamu ya tano imekosa ajenda za kitaifa badala yake chchote kuvaliwa

Siku za hivi karibuni ajenda kubwa ya kitaifa baada ya dawa za kulevya ilifata viroba kwa ivi naona kwa mbali """ MAKONTENA YA MCHANGA"" inaingia sokoni kwa fujo zote """ nawaza tu kwa sauti. Ivi ina maana kabla ya rais Magufuli kwenda bandarini na kubaini kwamba kuna makontena ina maana mamlaka husika hawakwepo??? Kwaiyo wanaamaanisha tuwape pongezi ya kubaini makontena zaid 262 kurasini kwa kazi ipi ?? Badala ya kuwajibika????

Tuwe makini.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Wana jf:

Bila kupapasa maneno ni kweli kwamba serikali sikivu ya awamu ya tano imekosa ajenda za kitaifa badala yake chchote kuvaliwa

Siku za hivi karibuni ajenda kubwa ya kitaifa baada ya dawa za kulevya ilifata viroba kwa ivi naona kwa mbali """ MAKONTENA YA MCHANGA"" inaingia sokoni kwa fujo zote """ nawaza tu kwa sauti. Ivi ina maana kabla ya rais Magufuli kwenda bandarini na kubaini kwamba kuna makontena ina maana mamlaka husika hawakwepo??? Kwaiyo wanaamaanisha tuwape pongezi ya kubaini makontena zaid 262 kurasini kwa kazi ipi ?? Badala ya kuwajibika????

Tuwe makini.
Utawala huu ni wa matukio tu.

Watanzania wanajiuliza kwani Raisi siku hizi amaekuwa polisi eti kakamata makontena kwa ziara ya kushtukiza.

Hii single ilifeli mapema sana mpaka akajawa na jaziba dhidi ya vyombo vya habari.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Yaani nilijiuliza hilo swali hata mimi, yaani makontena yametoka geita sijui kahama na buzwagi, yalipitata barabarani yamepita check points zote then yanakamatwa na raisi bandarini tena raisi kayawahi haraka utafikili ndo yanataka kusafilishwa.
 
Nimesoma comments zenu mumenukuu tofauti yeye alisema hakuna kusafilisha mchanga nje ya nchi ndo alienda kama kweli yapo siyo kayakamata tutangulizeni uzalendo munajenga chuki bure
 
"Unashtukiza" kwenda kukamata container la mchanga lililokuwepo pale kwa zaidi ya mwezi mmoja. Hii yote kutafuta namna ya kuandikwa kwenye front pages za Magazeti
 
siku ile hawakufungua yale makontena wameacha itakuwa ni episode nyingine sasa ivi wanaandaa mazingira ili single ije kupata kiki!
 
Eti siku sizonje analipofika bandari ndio walianza kukata yale makufuli huu si usanii wa kiwango cha juu wakuu?
 
Back
Top Bottom