Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,527
- 81,250
Chinjilia mbali huko fala huyo
Una amini kuwa watu hubadilika!?Akue mara ya ngapi, hamna alomshika mkono akaandika talaka.
Anaanzaje kumrudia mtalaka wake sasa
Sio muhimu buanaMpk Sasa bikra Ni muhimu nnavyohic mm ili kujenga uaminifu kwa atakaekuoa else atajua ty kwamba Kuna mtu nyuma yake na ipo cku unaweza ukarud kwake
Kumbe wewe unataka thread eeehMwachen amrudie tuandikiww thread nyengne
no retreat no surrender.....songa mbele na maisha yako ....fanya kama ilikuwa story iv halafu kitabu kikaungua moto ko hakuna kumbukumbu zilizobaki kickwan mwako...ila nyie wanawake amuelewekaki utakuta si tunabwabwaja hapa mara kesho umerudiana nae...kazi kwako sasa!!!! kwa maumivu hayo usirudi nyumaSiwez kurud mkuu
Kumbe wewe unataka thread eeeh
We ni shemu tuu, si uitike auShem kwa nani
Sina koloni koloni humu
Wakibadilika huzidi kuwa wabayaUna amini kuwa watu hubadilika!?
Bashite wako wengi sanaKuna vitu vyengne hata angemsimulia huyo mwanae angeambiwa ding alizingua
HahahahaWakibadilika huzidi kuwa wabaya
UMENIWAHI MKUU bila kumung'unya maneno mtu huyo ni muuaji kwako ukimrudia haki ya Mungu anakuua kama si kukufirisi mali zako...hana kingine anachokihitaji kwako zaidi ya mali zako...kuhusu mtoto mwambie amfuate baba ake wewe si ndio uliye mzaa kwanini mtoto wako akushinde maarifa...?ila dada yote aliyokufanyia huyo mwanaume kweli una hamu ata ya kuja kumwanzishia thread uombe ushauri ww bado unampenda huyo jamaa kazi kwako
Ahsante sanadah kweli pole sanaaa aiseh mtafute bashite naye anapitia mazito kama yakoo akushauri namna ya kuyashinda ingawa yake yanaelekea kumshindaaa