Recent content by jomuka

  1. J

    Hivi ni wanaume wote tunachanganyikiwa na mkia??

    Kama unataka nyama yenye mafuta mengi mkia wa kondoo utakuchanganya.
  2. J

    TV4Sale Flat screen inauzwa TShs 200,000/= tu

    Ya kwako na ina risiti ya TRA?
  3. J

    Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

    Hakuna aliye thibitisha kuwa ana mimba, ni kutafuta umaarufu tu na matangazo ya biashara.
  4. J

    Wadau wa viwanda vya Mifugo

    Hujaeleweka! Viwanda vya mifugo, viwanda vya kuzalisha mazao ya mifugo, au viwanda vya kusaga na kuchanganya chakula cha mifugo?
  5. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Andika barua ya "kuomba kubadilishana kituo cha kazi", eleza daraja lako la Ualimu. Peleka Manispaa unayotaka kuhamia, wataitundika kwenye mbao za matangazo. Barua ueleze jinsia, anuani, namba za simu, email nk.
  6. J

    Sina hisia zozote naye za mapenzi ila yeye ananipenda, nifanyaje?

    Mpende akupendaye. Ukipendwa usipopenda, ukija penda hutapendwa.
  7. J

    Nataka kufuga kuku

    Habari wanaJF wote,Heri ya mwaka mpya. Mimi ni mjasiliamali natamani kufuga kuku wa kisasa na kienyeji kwa ajili ya biashara. Naomba ushauri au msaada wa kupata namba ya simu ya group ya wafugaji, website, email na kadhalika, ili niweze kuwasiliana nao kwa ushauri na maelekezo.
  8. J

    Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

    Tusihofu. Tutakuwa naye kwa nguvu kubwa, kwenye chama kikubwa mwaka 2020.
  9. J

    Ubinafsi wa Mnyika: Atumia Pesa Yote ya Mkopo wa Gari Kufanya Uwekezaji DSE

    Sijaelewa! Ina maana wabunge wametakiwa kutumia Fedha za mikopo ya magari kwa maendeleo ya wapiga kura wao??
  10. J

    Hofu ya kufilisika yamtanda Lowassa, adaiwa kushindwa kulipia kodi ya Pango PPF Tower

    Why do you care about others lives, while yours is troubled
  11. J

    Mayai trek 10 kwa siku yanahitajika.

    Weka namba yake ya simu
  12. J

    Kutamani wafiwa hakufai!

    Ni kweli bwana
Back
Top Bottom