Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Tusihofu. Tutakuwa naye kwa nguvu kubwa, kwenye chama kikubwa mwaka 2020.
 
Kama David Kafulila, Wenje, na Marcus Albanos
Hata huyo mbunge mmoja wa kigoma shukrani za kipekee kabisa ziende kwa Anna Mgwira, bila yeye act inge angukia pua
 
Vyovyote vile mtakavyosema chadema ni Chama kikuu cha upinzani na kina wabunge wengi Dar es Salam jiji kuu.
 
Vijana wengi wa CHADEMA wana shida hii ya kuelewa kuhusu 'umdhaniaye ndiye mara nyingi huwa siye...na umdhaniaye siye huwa ndiye',they're very slow to learn anything, Laiti wangejua kwamba mazingira ya siasa za Kiafrika kiongozi wa chama kikuu cha upinzani akiwa pia mfanyabiashara anakuwa ktk uwezekano mkubwa wa kutumika na serikali ya chama cha tawala kwasababu kubwa mbili🙁1) mfanyabiashara anaweza kuzigeuza siasa kuwa jukwaa lingine la kimapato(2)mfanyabiashara anapenda kupata faida kubwa kubwa,faida kubwa wanazozipata mara nyingi hutokana na fouls wanazozicheza kama vile kutolipa kodi, kufanya biashara nyingine zisizo halali.Mara nyingi utakuta serikali wanafahamu mambo yote haya hivyo yanayofanywa na viongozi hawa wa vyama vya upinzani ambao ni wafanyabiashara lkn utakuta hawawachukulii hatua za kisheria kwakuwa wanatoa ushirikiano kwa chama tawala.Je,Wana CHADEMA mliwahi kujiuliza kuhusu hilo?mnakimbilia kumwita Dr Slaa msaliti,itakuwaje siku mkijua kuwa kumbe mnayemwita shujaa wa CHADEMA ndiye msaliti mkubwa dhidi ya harakati za kuiondoa CCM madarakani?itakuwaje siku mkija kujua kuwa ujio wa Lowassa upinzani ulikuwa sehemu ya mkakati wa chama tawala kuvihujumu vyama vya upinzani na kujihakikishia kurudi madarakani?just thinking!
Kumbe theory yako hapa ni "Itakuwaje?" Nami nakuambia Itakuwaje kama unavyofikiri sio?
 
Mkuu,,unaroho ngumu sana! Kumponda Slaa kunahitaji uwe huna akili! Una roho ngumu sana kwakweli sijui kama.
cdm imedhoofu wewe. chama kuimarika sio wingi wa viti bungeni tu. kuacha dsm ambapo edo aliweka mtandao binafsi na pia hasira za wapangaji wa mabondeni etc. cdm imebakia chama cha kilimanjaro na nyumbu wa mgombea wao urais. wamechukua viti vyote moshi na vya wafugaji wa kimasai isipokua ngorongoro. cdm imegeuka chama cha makabila mawili badala ya kitaifa. ndio maana cdm sasa ni kupinga tu kila kitu kwani wanasimamia agenda ya ovyo.
 
Ni kweli kwa yeyeyote mwenye taarifa naye atujulishe ili angalau tujue mzee wetu yuko wapi ikiwezekana tumwalike siku moja aje aone maendeleo yetu
Kuna post yangu moja ya mwaka jana ngoja nikutag uone nilichoandika juu yake
 
Someni vitabu vijana,fuatilieni siasa za nje ya nchi yetu ili mpanue ufahamu wenu,mkifanya hivyo mtaweza kujua viongozi bomu na viongozi bora wa vyama vyetu vya siasa. Kuna huu msemo uwahusuyo wapendanao usemao 'the one you trust so much is the one who will hurt you so much'.
Twambie wewe ni kiongozi gani wa cdm ambaye halipi kodi tumjue hapa hapa
 
Someni vitabu vijana,fuatilieni siasa za nje ya nchi yetu ili mpanue ufahamu wenu,mkifanya hivyo mtaweza kujua viongozi bomu na viongozi bora wa vyama vyetu vya siasa. Kuna huu msemo uwahusuyo wapendanao usemao 'the one you trust so much is the one who will hurt you so much'.
Soma wewe utufundishe,nimekwambia tueleze hao viongozi umeshindwa kuwasema
 
Vyovyote vile mtakavyosema chadema ni Chama kikuu cha upinzani na kina wabunge wengi Dar es Salam jiji kuu.
Hilo jambo ndio linawauma sana magamba na kuamua kuwaponda wapinzani
 
Back
Top Bottom