[QUO]tatizo siosheria tatizo nyie wanasiasa mtaalamu akitoa ripoti yake,wanasiasa mnaanza kumpigia simu,waheshimiwa ndio kinawapa kiburi cha kufanya atakavyo mjenzi,leo wanasurubiwa wahandisi wanasiasa wameachwa,kuna kiwanja cha jiji ktkt na jaymall nasikia kunashinikizo la kuuzwa,haya shule ya...