Mpoto kugombea ubunge

Mpoto kugombea ubunge

magamba wamezoea kuwatumia watu maarufu kutafuta kura hata kama umaarufu wao ni wa hovyo. kuna wakati walimvalisha marehemu matonya sare za magamba na kutembea naye mitaani kuomba kura kwa omba omba wenzake kwenye mitaa ya morogoro!
 
Mzee wa chocheeni kuni mbichi moto ukolee, ugali usongwe, mnalotaka litokee....Hahaha..kichwa hiki, naomba kitue CHADEMA.
 
Bila kutaja chama wala jimbo namuona ni mbabaishaji , labda ndo nauli aliyokuwa anaisema hiyo
Bila kutaja chama ni unafiki wa hali ya juu akiogopa magamba kumfilisi endapo ataamua kujiunga upinzani,,na kutaja kuhamia magamba anaogopa tutaanza kususia kazi zake kama kugoma kuungana kwake na mafisadi.
 
Msanii wa muziki Mrisho Mpoto (Mjomba) amesema mwaka 2015 amesema atagombea ubunge bila kutaja CHAMA WALA JIMBO ATAKALO GOMBEA ameyasema hayo kwenye kipindi cha tuongee cha star tv leo.

http://3.bp.blogspot.com/-UgPAqcm0Lbo/UH3Np-
h41UI/AAAAAAAACO8/kkSOgo7pHuw/s1600/Mrisho%2BMpoto.JPG


He is bogus.... Hana jipya,
so issue si CHAMA wala JIMBO..... hana jipya...
atazidisha tu kuvaa vitenge, better abakie msanii

Bungeni si sehemu ya kudansi dansi.....
Tunataka wabunge CAPABLE, WENYE UWEZO WA KUJENGA HOJA... Elimu muhimu saana bungeni...

Na si usani usanii na uhuni tu .... hamna kitu hapa...

... signing out....
 
Mpoto hafai hata ukatibu kata anawasema wenzake yeye nae vilevile.amenunuliwa na wakenya akaukana utanzania kwa ajiri ya pesa.leo akipewa ubunge si atawauza wananchi wa jimbo lake? Njaa tu huyo inamsumbua hana uzalendo
 
Naskia na kamanda Taswira naye atagombea mbozi kupitia chama cha vitunguu swahumu,
pia kamanda Ritz naye amepania kumsambaratisha Halima Mdee pale kawe.......du.....
 
Last edited by a moderator:
Mpoto ataungwa mkono hapa jf na kusifiwa kwa kila namna,kama tu atasema anagombea kupitia CHADEMA...
 
Mpoto ataungwa mkono hapa jf na kusifiwa kwa kila namna,kama tu atasema anagombea kupitia CHADEMA...

Hata angesema atagombea kwa tiketi ya CDM hana jipya yeye aendelee na mashairi ya ya vingamuzi. Sana sana atagombea kupitia magamba kwani yuko karibu sana na Vasco Dagama kila ziara za mikoani yuko nae. Ukizingatia hawa ndio walioukosa ukuu wa Wilaya inabidi wachange karata upya. Na Eric Shigongo nae atagombea ubunge 2015 kwani 2010 Vasco da Gama a.k.a baba Mwanahasha alimwambia akae kando kwanza. Kazi ipo hata ukisikia Kingwendu anagombea usishangae kwani ni haki yake.
 
He is bogus.... Hana jipya,
so issue si CHAMA wala JIMBO..... hana jipya...
atazidisha tu kuvaa vitenge, better abakie msanii

Bungeni si sehemu ya kudansi dansi.....
Tunataka wabunge CAPABLE, WENYE UWEZO WA KUJENGA HOJA... Elimu muhimu saana bungeni...

Na si usani usanii na uhuni tu .... hamna kitu hapa...

... signing out....

Kama komba yupo, yeye ana kasoro gani !?
Bado na Afande Sele anataka akapige colabo na sugu !
 
pia alihojiwa ktk kipindi cha hot mix,kuwa kuna fununu kuwa anataka kugombea ubunge kupitia cdm,akachekaaa!akasema msiwe na wasiwasi muda ukifika nitasema,na anataka kumuangusha mbunge mmoja wa dsm!nadhani atakuwa mbunge wa tmk, mr.mtenvu kwani jamaa huko linakoishi kibonde maji linapendwa sana! Na wananchi.
 
Kwa sasa kufikiria kugombea Ubunge ni kujidhalilisha, tusubiri katiba mpya iweke misingi imara ya uongozi. Ni vyema kwa sasa tukaweka nguvu zetu katika kuhakikisha tunapata Katiba iliyo bora siyo bora katiba. Maslahi ya taifa mbele. Tujifunze kutoka Kenya, napenda katiba yao ilivyo kwa sasa.
 
Na bi Kidude naye nilisikia anagombea.Usishangae kusikia na Lulu kupigiwa debe ya ubunge na mzee wa mapambio(*****).
 
He is bogus.... Hana jipya,
so issue si CHAMA wala JIMBO..... hana jipya...
atazidisha tu kuvaa vitenge, better abakie msanii

Bungeni si sehemu ya kudansi dansi.....
Tunataka wabunge CAPABLE, WENYE UWEZO WA KUJENGA HOJA... Elimu muhimu saana bungeni...

Na si usani usanii na uhuni tu .... hamna kitu hapa...

... signing out....

Kweli kabisa kaka pia jamaa si ndio alisema kiswahili asili yake ni keny?He is bogus ila amekaa kigamba gamba.
 
Kila la kheri kwa Mpoto, labda atafanya na saidia jamii kama mashairi yake yanavyodai...
 
Bila kutaja chama ni unafiki wa hali ya juu akiogopa magamba kumfilisi endapo ataamua kujiunga upinzani,,na kutaja kuhamia magamba anaogopa tutaanza kususia kazi zake kama kugoma kuungana kwake na mafisadi.

ni kati ya watu wasiojiamini na waoga, chadema hatumuhitaji huyu mtu cdm
 
Duh, kila mtu anataka ubunge!! Haya bana tusubiri uona nani hatagombea ili awe mpambe wa mwenzake
 
Back
Top Bottom