Ya Manumba Ni Zaidi Ya Malaria!

Ya Manumba Ni Zaidi Ya Malaria!

hakuna cha vijana wa kazi wala nini....

Kwani madudu wanayofanya polisi yeye ni mgeni nayo????

Au ukiwa kiongozi huumwi? Ukiumwa hujuma?
 
Wakubwa wana kila kitu at their disposal..pesa..protection hata na privilage ya kwenda kutibiwa nje..sasa malaria ya kumpeleka icu...

subu wanga=tupa uchawi: huko kwenu hata mtu akipaliwa na mate amelogwa, sishangai mchango wakOo
 
Watu na imani zenu mnatisha ndo viongozi wenu waliowafundisha hivyo
 
Ndo mjue umuhimu wa lile tangazo la lushusha net. Mnakumbishwa.hadi na rais wenu mjifunike mashuka hamtaki.
 
Atakayeniua mimi, basi mtu huyo hata panya wa nyumbani kwake hawatasalia... (Zito Kabwe 2012)
 
Habari zinazozunguka kichinichini Magogoni na Central ni kuwa kuugua kwa ghafla kwa Manumba kuna ukaribu mkubwa na masuala aidha ya madawa ya kulevya, meno ya tembo/vifaru au Ulimboka. Nyepesi zinasema kuwa kabla hajaugua ghafla (Malaria ya siku mbili hadi ICU), alipitia baadhi ya taarifa zinazogusa upelelezi wa siri (status updates) wa masuala hayo.

Inasemekana kuwa mmoja wa vijana wake kikazi naye ana wasi wasi maana alim-feed Mzee updates fulani fulani.

Niliulizwa nishawahi kuona malaria ikampelekeka mtu ICU Aga Khan halafu haelekei kutoka?

Napotelea kwetu kiungani, mjini hatari.

Nimependa sana style yako ya kunong'oneza mtu unajisikia raha uendelee kusikiliza. Mkuu endelea kunusa utakalo sikia tujuze.
 
kwa vile ni habari zinazozunguka chini kwa chini zikifika zinakokwenda tutajadili kwa kina zaidi bado hizo ni tetesi
 
Hadith njo utamu kolea

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi mkubwa yeyote akiugua au akifa kwanini watu wanahusisha na hujuma? kwani hawa watu hawatakiwi kufa au kuugua!

Issue ni kuwa mimi masikini , mtu mdogo nani atahangaika kuniwekea 210 P.
 
Au ni ile ishu ya madawa ya kulevya ya mtoto wa kigogo iliyotokea China? Pia najiuliza, kwa jinsi Manumba alivyojibu suala la Mwakyembe, usafi wake uko wapi hadi kuhusianishwa na kuingilia dili za wakubwa? Alishindwaje kumtetea Mwakyembe na leo azuie mambo ya watu? Ni dhana tu hizi lakini
Hiyo ishu ya madawa ya kulevya CHINA NI YA KUTUNGA NA ILOKUWA NA NIA YA KUWAOKOTA MASHABIKI WA CHADEMA NA VIONGOZI WAO.NI KAMA ILE KURA FAKE ZA TUNDUMA.Kuna watu wapo kazini hapa hapa JF.
 
link kati ya ugonjwa wa manumba na ulimboka siipati!

sijui mleta mada anataka kutuaminisha kuwa manumba amepata stroke baada ya kupewa ripoti ya wahusika walioshiriki huo uhalifu?jamani eee angalieni visits nyingine unaweza dhani wanamtembelea mgonjwa kujua anaendeleaje kumbe wanataka kuulizia anakufa lini?mnakumbuka ya bilali?
 
Toka nikue pamoja na ka elimu kangu ka kianalojia,Uzoefu nilio nao,Mhe.amevunja rekodi kuwa na plasmodium 500.Cjawahi ckia sehemu yoyote duniani wala kwa mtu yeyote.Hata Nigeria cjawahi,hata HINDIYA.get well sun mhe.ukipona utatwambia ukweli.
 
Kiungani acha abradakadabra, mpaka sasa tafiti zinaonyesha malaria ndiyo namba 1 killer disease hapa kwetu. Sasa nini cha ajabu kusikia mgonjwa wa malaria kulazwa icu
Habari zinazozunguka kichinichini Magogoni na Central ni kuwa kuugua kwa ghafla kwa Manumba kuna ukaribu mkubwa na masuala aidha ya madawa ya kulevya, meno ya tembo/vifaru au Ulimboka. Nyepesi zinasema kuwa kabla hajaugua ghafla (Malaria ya siku mbili hadi ICU), alipitia baadhi ya taarifa zinazogusa upelelezi wa siri (status updates) wa masuala hayo.

Inasemekana kuwa mmoja wa vijana wake kikazi naye ana wasi wasi maana alim-feed Mzee updates fulani fulani.

Niliulizwa nishawahi kuona malaria ikampelekeka mtu ICU Aga Khan halafu haelekei kutoka?

Napotelea kwetu kiungani, mjini hatari.
 

Kujadili na kuhukumu vitu visivyo na uthibitisho ni "UPUUZI" Lakini kutokujadili tetesi kwa lengo la kupata uthibitisho, pia ni "UPUUZI".


-
ingawa ukitaka kuwa mwongo uwe na kumbukumbu nzuri usichanganye madawa.

Mbona sasa kama ndo hivyo we ndo utakua mpuuzi wa kwanza hapa Jf
 
Hivi mkubwa yeyote akiugua au akifa kwanini watu wanahusisha na hujuma? kwani hawa watu hawatakiwi kufa au kuugua!

Ndo hapo sasa...I don't buy in that story...Manumba is Manumba hata tufanyaje. Namtakia afya njema tu
 
Back
Top Bottom