Recent content by Jogoo mbegu

  1. Jogoo mbegu

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza matokeo ya Kidato cha nne 2023. Ufaulu waongezeka

    Ndo Mambo mapya siasa mpaka ktk elimu, miaka yetu ukipata dvs one unaweka historia kijijini/mtaani miaka kadhaa!! Sasa dvs one ni Jambo la kawaida sawa na bure tu 😂😂
  2. Jogoo mbegu

    Acheni kujichubua

    Asante mkuu, kumbe mjumbe alimaanisha KUJICHUA na siyo KUJICHUBUA sasa nimeelewa shukran 😁
  3. Jogoo mbegu

    Acheni kujichubua

    KUJICHUA AU KUJICHUBUA!! AU MI NDO CJAELEWA😂😂
  4. Jogoo mbegu

    Msaada; Tv za kichina nzuri ni zipi?

    Cjaelewa, kwamba unataka Tv au runinga au vyote kwa pamoja?!
  5. Jogoo mbegu

    TMA watabiri mvua kubwa Jumamosi na Jumapili

    Cjaelewa, kwamba sirikali imesema Dar wahamie Tabora au?!!
  6. Jogoo mbegu

    Mademu wa kishua ni mzigo

    Sijaelewa, unamzungumzia yeye au wewe?!
  7. Jogoo mbegu

    Licha ya Serikali kufanya juhudi kubwa, bidhaa ni ghali sana

    Mkuu wewe unaakili sana wewe ni hazina bora ya taifa 😂
  8. Jogoo mbegu

    Hivi kifaru cha kijeshi kinaendeshwaje wakati kimefunikwa kote?

    Mkuu una akili kali sana, wewe ni hazina ya taifa 😂😂😂
  9. Jogoo mbegu

    Namibia: Serikali yaweka wazi kuwa Rais Hage amekutwa na Ugonjwa wa Saratani

    Wachambuzi uchwara watasema CIA wanahusika 😁😁
Back
Top Bottom