Lakini, ukiwaangalia waliojichubua,hasa wale wasio na uwezo wa kuendelea na mkologo, au wale waliozeeka, unaonaga si sawa?! Japo ni maamzi ya mtu.
Niliwahi waona Mwanza wanaojiuza, dahhh! Unajiuliza,huyu kweli nae anapataga wateja!
Hawako sawa.
Ila kiukweli kutoka moyoni, mkorogo si mzuri, kabisa.
Shida inakuja, unamfuma mwanaume wako anadate na mwanamke aliyejichubua, nawe unadhani huenda weusi wako ndio kikwazo cha mwanaume wako kwenda kutafuta mwanamke nje, nawe unaanza kujikoroga...kumbe unajiharibu
Wanaume ndio wanasababisha baadhi ya wanawake waendelee kujichubua.
Mimi binafsi, nina rafiki zangu wengi tu wamejichubua tena ile ki kweli kweli, huwezi amini:-
1. Wanatoa harufu, si kwenye ngozi zao tu, mpaka sehemu za siri, kwa sababu cream zina kila aina ya kemikali, incase katembea mwendo mrefu, au kakaa sehemu yenye joto lile jasho la ndani ya mapaja likikutana na mkorogo tu, harufu tayari huku kwenye mbususu.
2. Chunguza vyumba/maghetto mengi wanayoishi wanawake wale waliopitilza mkorogo, kuna kaharufu fulani huwa haka kapo automatically, huwa hakaishi vyumbani mwao huwa sijajua kwanini.
Hii naionaga kwa hao rafiki zangu.
3. Wakienda kujisaidia aidha haja ndogo au kubwa, wakishachamba ni lazima wajikaushe, wakijiacha na vimajimaji hata kidogo tu, lazima atoe harufu maana cream wanapaka mpaka huko kwa bibi, na hasa umkute ana makalio makubwa...utajuta.
Ila ndo hivo, wanakwambia Natural iachie misitu.🌲🌳🌴🌳🌲
Weupe ndo kila kitu....