TMA watabiri mvua kubwa Jumamosi na Jumapili

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
1706184121622.jpeg


1706184142442.jpeg
 
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451

View attachment 2882452
Hawajaitaja Dar lakini trust me. Itaputa na kuacha vilio
 
Usife kizembe

 
Watu mna hasira na wanaoishi mab
Safari hii wa mabondeni mtahama mtake msitake...
Sijui waishio mabondeni waliwakosea nini?
Wakati ndo walipakodi wakubwa wanaosababisha zipatikane hela za kupigwa
ili wapigaji wajenge sehemu nzuri.
 
Back
Top Bottom