Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.