Ndugu zangu za mida naomba kwa yeyote aliwahi kutumia machine za betting kama sehemu yake ya biashara anisaidie.
Ninafikiria kufanya biashara hiyo hivyo nilikuwa naomba mnisaidie niweze kujua biashara hiyo kwa undani.
Kama vile changamoto,faida pia vitu gani vinaweza kukupa hasara katika...
Kiukwel nakuona kama unatabia ya mke wangu japo yy ankila akiamka anawaza maendeleo ya familia na wala cyo yake nivizur sana kuwa na malengo yako lakin mshirikishe mwambie ba flan au au flan saiv naitaji namm saiv kufanya kile nilicho kuambia naomba sapot yako anajua atakusapot
Siri yeyote katka...
Hahhahahahahahaga
Dah umenifurahisha sana mkuu
Ila kinacho furashangaza zaidi chato kila mtumishi lazima acheze mgambo tena siyo ombi ni lazima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimbabwe hutumika kama
Dr au mwalimu ndo maana ikiona katika video utawaona.
Kama siyo mtunzi au mwanafasihi ningumu kuelewa.
Wale Wa jkt wanajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisoma huo mstari Wa mwisho
Kwa mawazo yangu
Inawezekana Roma alikuwa anasifiwa sana na mkuru mbele ya mtoto,hvyo mtoto akaona wivu na kuamua kutaka kumpoteza kabisa ila mkuru akaweka ngumu.
We kakupa ambulence,mi kanijengea.....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu yeyote anajua ethics za upelelez au undercover agents.
Je ? Unadhani lisu anamsimamo kuliko Dr slaa.?
MDA NI ADUI MKUBWA SANA WA UMRI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani yangu ni kuwa kuna siku Tanzania itajengwa na watu kutoka nchi jirani za Est Africa kama Kenya na zingine kama ilivyo Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu ambavyo ni vigumu sana kudili navyo Mkuu,historia ya kidini na historia ya kikabira.
Lakini jf hawakuwa wajinga kuweka majukwaa tofauti,hiyo mada ebu kaulize jukwaa la siasa naisi utapata majibu mazuri sana.
Mengine itakuwa visa tu.
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Hayo ndo mapenzi,wanajuana wamekubaliana,kuachana hao saiv ni Marachache sana.
Cyo siku mbili nikuoe af kesho unaleta mambo mengiiiii na visingizio visivyo na mipaka.
Hongeren sana wadada mjifunze,kwa wenzenu.
Kama mke profesa na mke Wa Ay wamewavumilia sana waume zao.
Sent from my Bravo Z11...
Najaribu kufikiria tu.
Kama ukuchini saivi haurusiwi kuchukua art.
Na saivi huku juu hakuna kuacha physics maanake tunaitaji sayansi pure.
Labda,nasema tena,labda kiongozi kaona masoma ya arts ndo ya haribu nchi,ni bora kuwa na watu sayansi wengi,kwa kisingizio cha walimu.
Najaribu kufikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.