Wasamaria:Fahamu chanzo chao na kwanini walikuwa hawachangamani na Wayahudi!

Asili ya wasamalia na kutengwa kwao ni hii:
Hapo kale, baada ya waisraeli kuchukuliwa utumwani babyloni waliachwa waisrael wachache kulinda mashamba. Watu kutoka babyloni pia walikuja israeli kutawala (kwa niaba ya mfalme wa babyloni). Mji wa Samaria ndio ukawa makao ya hawa watu kutoaka babyloni. Wageni hawa hawakufuata torati, walikuja na sheria zao na utaratibu wao wa kuabudu. wasamaria waliingia katika mtego huu na kuanza kufuata tamaduni za wageni na kusahau miiko yao.

Baada ya waisraeli kulejea kutoka uhamishoni babyloni, waliukuta mji wa samaria ukifuata tamaduni za kigeni, na ndio chanzo cha mji huu na watu wake kutengwa
 
Wakuu,
Unapofungua Agano Jipya,hasa
katika zile Injili Nne,utakutana na
uadui kati ya Wayahudi dhidi ya
Wasamaria!
Ila ushawahi jiuliza chanzo cha
ukinzani huu?
Basi twende sote tupate kujua!
Ukirudi nyuma kidogo katika
Agano la Kale utakutana na
Mfalme Suleiman!
Baada ya kuikinikia hekima
aliyoiomba na kupewa na
Mungu,Mungu aliamua kuugawa
ufalme katika vipande viwili
hasimu:Ufalme wa Yuda upande
wa Kusini na Israel upande wa
kaskazini!
Kwa kuwa Mungu hakutaka
kuutia doa ufalme wa Suleiman ili
kutokuvunja agano lake
aliloliweka na Mfalme Daudi,basi
kumrundia heshima
Daudi,alisubiri Suleiman
afe,ndipo auchane pawili ufalme
kama adhabu dhidi ya uasi wa
Suleimani kwa Mungu kwa kuleta
ibada ya shetani na miungu ya
kigeni kupitia mamia ya wake wa
kigeni aliyowaoa!
Punde,Suleiman alipovuta pumzi
ya mwisho,Israeli ikachanwa
katikati!
Makabila kumi yakaasi na
kujiunga na Jeroboam na
akaanzisha ufalme wake,huku
makao makuu yakiwa katika mji
wa Samaria!
Makabila mawili yakajiunga na
kutengeneza ufalme wa Yuda
yakiongozwa na Rehoboam
mtoto mkubwa wa Mfalme
Suleiman!
Pia kumbuka,kabila pekee
lilikokuwa na mamlaka ya kutoa
mfalme lilikuwa la Yuda!
Ila cha ajabu,Jeqoboam alikuwa
wa kabila la Ephraim!
Dharau namba moja!
Kama haitoshi Hekalu la Suleiman
lilikuwa Yerusalem kule
Yuda,kwahyo kila mwaka
Wayahudi wa Samaria wafunge
safari ya kuja hekaluni!
Jambo hili likamkela Mfalme
Jeroboam!
Naye pasipo kumuomba Mungu
ushauli,akaamua kujitengenezea
ndama wawili,katika mji wa
Betheli ili Wayahudi wa Samaria
wasiende Yerusalem!
Jambo hili lilimkera Mungu sana!
Uadui uliendelea!
Ila ulikua zaidi mwaka 722 Kabla
ya Kristo,baada ya ufalme
kupinduliwa na maelfu ya
waisraeli wa Samaria kubebwa
utumwani na jeshi la Wassyria!
Na mfalme aliyeshinda,akaamua
kuleta watu wa mataifa mbali
kutoka katika makoloni yake toka
Ninawi mpaka Babylon ili
wautunze mji na kuilima ardhi!
Lengo lake ilikuwa ni kuzima
jitihada zote za Wayahudi wa
Samaria kujitutumua tena ili
kupinga utawala wake!
Na pia kutoa somo kwa makoloni
madogo kuwa yasithubutu
kuleta fyokofyoko!
Lakini cha ajabu,nchi ya Samaria
ikaanza kuvamiwa na Simba wala
watu!
Baada ya watu kusosiwa kwa
muda mrefu na taarifa kumfikia
mfalme wa Assyria,ikabidi kuhani
wa Kiyahudi atafutwe!
Baada ya upepelezi,ikaonekana
Yahweh hajapendezwa na
miungu ya wakazi wapya wa
Samaria,hivyo kuhani akatumwa
kwenda Samaria ili
kuwafundisha watu amri za
Yahweh!
Baada ya hali kutulia,mwaka 586
Kabla ya Kristo ufalme wa kusini
nao ukaanguka kwa mkono wa
Nebukadneza!
Wayahudi wa Samaria
hawakuwahi kurudi Samari,na
huo ukawa mwisho wa hayo
makabila kumi!
Ila yale makabila mawili ya
kusini,yalirudi chini ya uongozi
wa Nehemia na Ezra!
Kwahyo mbele ya
Wayahudi,hawa wakazi wapya
wa Samaria,na baadaye katika
Agano Jipya wakiitwa walikuwa
ni Walowezi,nusu watu na wa
mataifa!
Walikuwa na haki zote za
kuwachukia!
Japo Kristo aliwatendea
vizuri,kama yule mwanamke
msamaria pale kisimani,mpaka
hekalu linavunjwa mwaka 70
Baada ya Kristo "bifu" liliendelea!
Sii sahihi kusema "jambo lile lilimkera Mungu"

Ni sahihi kusema jambo lile lilimchukiza Mungu.
 
Asili ya wasamalia na kutengwa kwao ni hii:
Hapo kale, baada ya waisraeli kuchukuliwa utumwani babyloni waliachwa waisrael wachache kulinda mashamba. Watu kutoka babyloni pia walikuja israeli kutawala (kwa niaba ya mfalme wa babyloni). Mji wa Samaria ndio ukawa makao ya hawa watu kutoaka babyloni. Wageni hawa hawakufuata torati, walikuja na sheria zao na utaratibu wao wa kuabudu. wasamaria waliingia katika mtego huu na kuanza kufuata tamaduni za wageni na kusahau miiko yao.

Baada ya waisraeli kulejea kutoka uhamishoni babyloni, waliukuta mji wa samaria ukifuata tamaduni za kigeni, na ndio chanzo cha mji huu na watu wake kutengwa
Hii imenishawishi kusoma zaidi
 
Mpaka hapo ushaonyesha jinsi usivyojua historia yako na jinsi gani haya makabila ya "Muhehe" "Mmakonde" "Msukuma", "Mgoni", "Mzulu" kati ya Wabantu kwa mfano, yalivyo very artificial na very later addition after the migration of the Bantu people.

Ni kama unamkataa mdogo wako mliozaliwa baba mmoja mama mmoja kwenye familia yenu, halafu unaenda kumkumbatia Myahudi ambaye hata hamna uhusiano wa karibu.

Ndiyo maana nikasema huu ni utumwa wa mawazo.

Bantu Migration

bantumigration.jpg
Uliyashuhudia au ulisoma kwenye maandiko ya wazungu?
Je ni kweli Mkwawa alijipiga bunduki?
Je ni kweli binadamu tumetokana na sokwe( evolution of man)
What about Gondwanaland?
Je kweli dunia ni duara?
Ni kweli ndege ya Malaysia ilipotea?
 
Uliyashuhudia au ulisoma kwenye maandiko ya wazungu?
Je ni kweli Mkwawa alijipiga bunduki?
Je ni kweli binadamu tumetokana na sokwe( evolution of man)
What about Gondwanaland?
Je kweli dunia ni duara?
Ni kweli ndege ya Malaysia ilipotea?
Wewe umeshuhudia mimi nipo?

Kushuhudia maana yake nini?

Sent from my Kimulimuli
 
Al-Watan wanaopenda kufuatilia maswala ya Kinjekitile Ngwale tu wachache,ukitaka kuamini,jaribu kuingia Jukwaa la Historia!
Lakini pia,ukitaka kuuza vitabu sokoni,mkononi una cha Waisrael na Kinjekitile,we unahisi kipi kitaanza kuisha kwa kununuliwa?
 
Dragoon mkuu,asante kwa mchango wako!
Ila ningependa kuweka kumbukumbu sawa!
Wayahudi waliorudi Uyahudini toka Babylon au Babeli ufalme wa Kusini,ni tofauti na wale waliochukuliwa utumwani toka Ufalme wa Kaskazini wa Israel!
Baada ya Ufalme wa Israel kumegwa na kuzaa falme mbili za:Yuda na Israel!
Wa kwanza kuharibiwa ulikuwa ule wa kaskazini uliokuwa unaitwa Israel wenye makao makuu yake katika mji wa Samaria!
Pia kama utakumbuka,mfalme aliyehusika na uharibifu huu aliitwa Shalmaneer wa dola ya Assyria ambayo makao makuu yalikuwa katika mji wa Ninawi!
Waisrael hawa hawakuwahi kurudi katika Nchi ya Ahadi na ndio mwisho wao tangu mwaka 722 K.K!
Ukifa ufalme wa kusini,nao ulianguka mwaka 586 mbele ya mkono wa Nebkadineza,na watumwa aliowachukia waliruhusiwa kurudi Nchi ya Ahadi na hawa ndio walioendeleza taifa la Israel!
 
Unaongelea historia ya Wayahudi iliyoandikwa na Wazungu gani mwaka gani? Labda tuanzie hapo.

Maana unaongelea Wazungu kwa kutaja nchi zilizoanza juzi hapa mpaka naona unataka kushindana kuogelea na mimi katika dimbwi la sentimeta tano.

Wazungu Gni walioanza Juzi?,
 
Unaongelea historia ya Wayahudi iliyoandikwa na Wazungu gani mwaka gani? Labda tuanzie hapo.

Maana unaongelea Wazungu kwa kutaja nchi zilizoanza juzi hapa mpaka naona unataka kushindana kuogelea na mimi katika dimbwi la sentimeta tano.
Kuna vitu ambavyo ni vigumu sana kudili navyo Mkuu,historia ya kidini na historia ya kikabira.

Lakini jf hawakuwa wajinga kuweka majukwaa tofauti,hiyo mada ebu kaulize jukwaa la siasa naisi utapata majibu mazuri sana.

Mengine itakuwa visa tu.

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu ambavyo ni vigumu sana kudili navyo Mkuu,historia ya kidini na historia ya kikabira.

Lakini jf hawakuwa wajinga kuweka majukwaa tofauti,hiyo mada ebu kaulize jukwaa la siasa naisi utapata majibu mazuri sana.

Mengine itakuwa visa tu.

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app

Kwa nini unafikiri dini na siasa ni vitu tofauti?

Sent from my Kimulimuli
 
Wakuu,
Unapofungua Agano Jipya,hasa
katika zile Injili Nne,utakutana na
uadui kati ya Wayahudi dhidi ya
Wasamaria!
Ila ushawahi jiuliza chanzo cha
ukinzani huu?
Basi twende sote tupate kujua!
Ukirudi nyuma kidogo katika
Agano la Kale utakutana na
Mfalme Suleiman!
Baada ya kuikinikia hekima
aliyoiomba na kupewa na
Mungu,Mungu aliamua kuugawa
ufalme katika vipande viwili
hasimu:Ufalme wa Yuda upande
wa Kusini na Israel upande wa
kaskazini!
Kwa kuwa Mungu hakutaka
kuutia doa ufalme wa Suleiman ili
kutokuvunja agano lake
aliloliweka na Mfalme Daudi,basi
kumrundia heshima
Daudi,alisubiri Suleiman
afe,ndipo auchane pawili ufalme
kama adhabu dhidi ya uasi wa
Suleimani kwa Mungu kwa kuleta
ibada ya shetani na miungu ya
kigeni kupitia mamia ya wake wa
kigeni aliyowaoa!
Punde,Suleiman alipovuta pumzi
ya mwisho,Israeli ikachanwa
katikati!
Makabila kumi yakaasi na
kujiunga na Jeroboam na
akaanzisha ufalme wake,huku
makao makuu yakiwa katika mji
wa Samaria!
Makabila mawili yakajiunga na
kutengeneza ufalme wa Yuda
yakiongozwa na Rehoboam
mtoto mkubwa wa Mfalme
Suleiman!
Pia kumbuka,kabila pekee
lilikokuwa na mamlaka ya kutoa
mfalme lilikuwa la Yuda!
Ila cha ajabu,Jeqoboam alikuwa
wa kabila la Ephraim!
Dharau namba moja!
Kama haitoshi Hekalu la Suleiman
lilikuwa Yerusalem kule
Yuda,kwahyo kila mwaka
Wayahudi wa Samaria wafunge
safari ya kuja hekaluni!
Jambo hili likamkela Mfalme
Jeroboam!
Naye pasipo kumuomba Mungu
ushauli,akaamua kujitengenezea
ndama wawili,katika mji wa
Betheli ili Wayahudi wa Samaria
wasiende Yerusalem!
Jambo hili lilimkera Mungu sana!
Uadui uliendelea!
Ila ulikua zaidi mwaka 722 Kabla
ya Kristo,baada ya ufalme
kupinduliwa na maelfu ya
waisraeli wa Samaria kubebwa
utumwani na jeshi la Wassyria!
Na mfalme aliyeshinda,akaamua
kuleta watu wa mataifa mbali
kutoka katika makoloni yake toka
Ninawi mpaka Babylon ili
wautunze mji na kuilima ardhi!
Lengo lake ilikuwa ni kuzima
jitihada zote za Wayahudi wa
Samaria kujitutumua tena ili
kupinga utawala wake!
Na pia kutoa somo kwa makoloni
madogo kuwa yasithubutu
kuleta fyokofyoko!
Lakini cha ajabu,nchi ya Samaria
ikaanza kuvamiwa na Simba wala
watu!
Baada ya watu kusosiwa kwa
muda mrefu na taarifa kumfikia
mfalme wa Assyria,ikabidi kuhani
wa Kiyahudi atafutwe!
Baada ya upepelezi,ikaonekana
Yahweh hajapendezwa na
miungu ya wakazi wapya wa
Samaria,hivyo kuhani akatumwa
kwenda Samaria ili
kuwafundisha watu amri za
Yahweh!
Baada ya hali kutulia,mwaka 586
Kabla ya Kristo ufalme wa kusini
nao ukaanguka kwa mkono wa
Nebukadneza!
Wayahudi wa Samaria
hawakuwahi kurudi Samari,na
huo ukawa mwisho wa hayo
makabila kumi!
Ila yale makabila mawili ya
kusini,yalirudi chini ya uongozi
wa Nehemia na Ezra!
Kwahyo mbele ya
Wayahudi,hawa wakazi wapya
wa Samaria,na baadaye katika
Agano Jipya wakiitwa walikuwa
ni Walowezi,nusu watu na wa
mataifa!
Walikuwa na haki zote za
kuwachukia!
Japo Kristo aliwatendea
vizuri,kama yule mwanamke
msamaria pale kisimani,mpaka
hekalu linavunjwa mwaka 70
Baada ya Kristo "bifu" liliendelea!
Kama uliisoma BIBLIA kwa nguvu za roho mtakatifu akakusaidia kuielewa usingeandika uongo huu,ila kama ulisoma kama vitabu vya historia uko sahihi, kutochangamana kwa wayahudi kuliagizwa na Mungu mwenyewe akiwaonya watakapofika katika nchi ya ahadi,wasioe wala kuoa Binti za makabila walioyakuta huko wala wasichangamane kwani walikuwa taifa teule la Mungu na yale makabila mengine yalikuwa yakiabudu miungu, ukisoma agano lakale hutokuta wakiitwa wasamaria kama usemavyo kulikuwa na Israel na Yuda. Wayaudi walikuwa ni Israel na Yuda kumbuka pale kisimani yule mwanamke msamaria alipoombwa maji alisema hawachangamani sababu Yesu ni myahudi nae msamaria, kumbuka mfano wa msamaria mwema pia utagundua ulichoandika ni upotoshaji labda uwadanganye wenye kusoma BIBLIA,ila kwa mwenye kulijua neno la Mungu hutompata. Asante ukipenda utajifunza kwa michango ya watu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
enoah asante kwa mchango wako,kuna maeneo wote tupo pamoja,ila katika moja!
Wasamaria walikuwa sio Wayahudi wala Waisrael kwa asili!
Bali ni mjumuiko wa makabila mengi ya kigeni yaliyochukuliwa toka mataifa mbalimbali toka katika makoloni ya Mfalme wa Waassyria kuja kuijaza nchi ya Ufalme wa Kaskazini wa Israeli baada ya kuwaaua na kuwabeba waliobaki baada ya kuuteketeza mji wa Samaria na kumuua Mfalme wao aitwaye Hoshea!
Na ukumbuke ufalme wa Kaskazini wa Israeli uliundwa na makabila kumi ya taifa la Israeli,makabila ambayo yalipotelea utumwani kwani hayakufanikiwa kurudi tena Nchi ya Ahadi!
 
Back
Top Bottom