Recent content by jephasonmbiae

  1. J

    Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

    Unaposema mmrefu maana yake sm ngapi, au ft ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    Mwanamke chezea pesa, mshahara, mali hata kazi chezea ila usicheze na umri(muda)

    Nafasi ikijitokeza Kuwa sirious golden chance not turn twice ( ila be care carefull usije ingia kwa vppeo) Sent using Jamii Forums mobile app
  3. J

    Genius Only: Ni Pipa Gani Litaanza Kujaa?

    Mkuu no 11 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Jipu kwenye labia minora

    Pole Dada ila smt016 naona ni mtaalam amekueleza dawa ya kutumia. Jf wanahitaji mwenye moyo wanafanya utani hadi mambo serous bhana, pole utapona. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. J

    Wana Mkoa wa Mara tusipobadilika upesi tutakimbiwa kila uchao na Wanawake na kuishia tu kujichua

    Huo utani Wa ngumi kujaribia us on pa mwenzio. Bily Sent using Jamii Forums mobile app
  6. J

    Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

    Huko sii kutembea uchi no ku- surprise Neyb Post sent using JamiiForums mobile app
  7. J

    ACACIA yasema italipa mirabaha iliyowekwa katika sheria mpya ya madini

    Tupo wengi ambao tungetamani mwenye kuelewa atujuze na sisitufaham tunafaidika VP na 6% mbona kama kidogo, kama nchi nyingine zinapata hadi 40% mbona Cc 6% ila wenda tukieleweshwa tutafaham. Kwa mwenye Elimu hapa tusaidie tu Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  8. J

    ACACIA yasema italipa mirabaha iliyowekwa katika sheria mpya ya madini

    Na uchenjuaji mikinikia? kwa hiyo 6% ni ya madini! Ya mchanga, ? Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  9. J

    Lipumba: Chadema na Lowassa umetukana sana hawakuwa wanakujibu, leo umejibiwa unalia, unalia nini?

    Ahahahaha nilikuwa nafatilia kwa mbali Ila bada yakuiacha idhaa ya Pugu imebidi kuduwaa Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
  10. J

    Ikitokea Ukafa Ukiwa Usingizini!

    Ukifa we marehem bhana kwani hata ukiachwa barbarani upo uchi una hbari gani inawahusu walio hai aliyekufa Keisha kufa story end
  11. J

    Umewahi Kukaa sehemu ukawa Unapiga Story na Mungu? Fanya hivyo kwa njia hii.

    Good mkuu, Hongera saana, Ifike muda mitandao iache kuelezana uovu Ihubiri (NENO) wao Barikiwa name Mungu.
  12. J

    Mrejesho: MwanaJF aliyeomba mtaji

    Pole Mkuu ila bado kama ulivyosema kuna watu wanna shida ila kuwatambua ni vigumu lakini akichokufanyia usiseme akioza ssmaki mmoja basis wote, ukiwa na moyo huo na Mungu kakuwezesha Fanya japo kauyafiti kadogo, wahenga walisema njia ya mwongo ni fupi, Ila huna asara mwenye asara yeye kajifungia
  13. J

    Hivi inawezekana kwa msichana aliyepo chuo kikuu 2nd year kuwa bado ni bikra?

    Kazi rahisi inamtegemea yeye na Mungu wana uhusiano na wala sii Dini wala Dheheb (Mungu;) hata kumaliza lakini Mungu na sio dini wala dhehebu haliwezi kumsaidia mtu
  14. J

    Je, ulokole una nafasi gani katika mahusiano?

    Mapokeo mabovu, ni kweli biblia inasema viongozi wa makanisa wameketi kwenye kiti cha Musa, ila mume anaitwa kichwa cha familia kama Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, hivyo mke kutomtii mume ni kinyume na neno la Mungu, pia mume kutoyajali mahitaji ya mke ambaye ni mwili wake ni kutokumpenda...
  15. J

    Je, ulokole una nafasi gani katika mahusiano?

    Hapana mkuu unawazungumzia wenye ndoa kila mtu amjali mwenzake ukiendelea hapo mbele kidogo utaona anasema mume hana amri juu ya mwili wake ila mkewe kadhalika mke hana amri juu ya mwili wake ila mumewe. Maana yake mke ajali mahitaji ya mume na mume ajali majitaji ya mke, hapo tutakuwa...
Back
Top Bottom