Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Kitu gani cha ajabu ushawahi kufanya?

Kutoka chumbani kwangu mpaka sebuleni sema bahati nzuri nilikuta mume wangu yupo pekeyake anaangalia mpira
BAADA YA HAPO NAJUA KUNA KITU KILIFUATIA MAANA LAZIMA ALIVYOKUONA TU

NAJARIBU KUINGIA KWENYE MIND YA MUMEO BAADA YA KUKUONA VILE
 
Nakumbuka ilikua mwaka 2001, niliteleza kutoka juu umbali wa mita 50.......
Ajabu ni sikuvunjika popote wala kujeruhiwa zaidi ya kujinyea tu kuwenye nguo.....
Aiseeeee uliachia mzigo kwa hofu mkuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kulia na kutokula kwa siku 2 baada ya edo mamvi kuenguliwa ktk mchujo wa cc,ila furaha iliporud alipopata nafas ya kupeperusha bendera via UKAWA

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
Niliumia saaaana siku ile niliachia ngazi kwenye chama nikatupa kadi n kuhamia CHADEMA ila nilifurahi zaidi alipokua mgombea

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kutoka chumbani kwangu mpaka sebuleni sema bahati nzuri nilikuta mume wangu yupo pekeyake anaangalia mpira
Kashakuwa mumeo wakati mahari yetu hajaleta?

Huko kwenye masinema kuna kitu alikuwekea sio bure.
 
Nilijamba ukweni..

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Kumkunja boss ofisini kwake na kumtandika moja bila

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom