ACACIA yasema italipa mirabaha iliyowekwa katika sheria mpya ya madini

TUPATE MGAO WA NOAH KWANZA.................MENGINE MTAJUANA WENYEWE.
 
Mkapa alisaini mikataba iliyoweka mrahaba wa serikali 3%.

Kikwete akaahidi kulinda maslahi ya Taiga kwenye Madini,akaunda tune,akasign mrahaba wa 4% toka 3%.

Magu akang'aka na kutuhubiria Noah na uzalendo,kasaign 6% toka 4%!!!!!

Tuandamane kwa hongera na kumtaka atawale milele!!!H
Kwa hiyo trend inaonyesha kuwa kila awamu inaongezeka. Hivyo akitoka akaja mwingine tutapandisha kutoka 6 mpaka 8!! Hivyo bora aondoke mapema ili tuwapandishie tena!!
 
Sekta ya madini ni ngumu sana. Hizo hesabu zenu za 6% kwa 94% zitawaumiza vichwa sana. Kiufupi Magufuli alitakiwa atawale kipindi cha Mkapa tungekula bata sana. Ila ata saizi tunafurahi sana. 2021 atawatikisa tena ataitoa 6 hadi 10% na watakubali tuu. Viva Magufuli Viva
 
Mi niwe muawazi sina elimu na jii mirabaha wenue elimu watujuze kiundani tunanufaikaje na hiyovkupanda had 6% na huo mrabaha una kokotolewaje na je kuna mapato mengine serikali inapata nje ya mrabaha na yale matrilion ya tume ni ya mirabaha tu? Na je nchi zingine inakuwaje kuhusu mirabaha yao haswa ghana na sauth africa

Nauliza haya ndugu nakwepa kufata mkumbo mwenye nia ya dhati naomba anieleimishe...kama umedhamiria kupotosha naokuomba niache hivi hivi kwanza

Sent from my D2502 using JamiiForums mobile app
 
Kama bado ni royalty on profit basi hakuna kitu. Si walishasema hawapati faida?

Wamejua wakikubali mrahaba wa 6% mtafurahi. Wanacheka kwani hawatatangaza faida. Hatuna tofauti sana na mababu zetu waliouza nchi kwa chumvi.
 
Tungefanya kama Botswana nusu kwa nusu sababu madini hayazai

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Lakini si mlisema kampuni ya ACACIA haijasajiliwa hivyo haitambuliki??!!?

Au?

sent from servant of God
inaanza kutambulika sasa....pesa ndio kila kitu...kutotambulika kwa ACACIA ilikuwa ni manjonjo tu katika kuwakilisha maono ya kamati ya prof Osoro. "mtoto(acacia) ana haki na mali ya baba(barick)" lazima aseme sisi(familia) tuna mali hii na hii
note: familia (barick na acacia)....
 
Mi niwe muawazi sina elimu na jii mirabaha wenue elimu watujuze kiundani tunanufaikaje na hiyovkupanda had 6% na huo mrabaha una kokotolewaje na je kuna mapato mengine serikali inapata nje ya mrabaha na yale matrilion ya tume ni ya mirabaha tu? Na je nchi zingine inakuwaje kuhusu mirabaha yao haswa ghana na sauth africa

Nauliza haya ndugu nakwepa kufata mkumbo mwenye nia ya dhati naomba anieleimishe...kama umedhamiria kupotosha naokuomba niache hivi hivi kwanza

Sent from my D2502 using JamiiForums mobile app
Tupo wengi ambao tungetamani mwenye kuelewa atujuze na sisitufaham tunafaidika VP na 6% mbona kama kidogo, kama nchi nyingine zinapata hadi 40% mbona Cc 6% ila wenda tukieleweshwa tutafaham. Kwa mwenye Elimu hapa tusaidie tu

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani Acacia ndicho walichoandika.

Acacia imeona chapisho kwenye Gazeti la serikali la Tanzania la sheria mpya inayosimamia sekta ya maliasili. Sheria iliyopitishwa ni Marekebisho ya sheria ya Madini ya mwaka 2010, na sasa ni sheria rasmi na inatumiwa na mamlaka za Tanzania.

Acacia inapitia kuona athari ya sheria hiyo katika shughuli zake za uchimbaji madini kufuatana na mkataba wake na serikali ya Tanzania. Hata hivyo, kupunguza kungiliwa zaidi kwenye shughuli zetu, kwa kipindi cha mpito tutakidhi takwa lililowekwa hasa kuhusiana na kuongeza kiwango cha mrabaha kilichowekwa katika madini kama dhahabu, shaba na chuma cha 6% (Kimeongezeka toka 4%) na nyongeza ya 1% ya kusafirisha madini hayo.
 
Tena mie wanipe ya kwangu mapemaa! shauri lao waliozaa eti vitoto viwili vitatu ina maana watapata pungufu, mwenye watoto wengi na Noah zitapark nyingi hahahha
Ha ha ha kumbe sio moja kwa familia,bali ni moja kwa kila kichwa...hapo imekaa vyema mkuu,ngoja nihakikishe vyeti vya kuzaliwa vinakuwa sawa.
 
Nadhani Acacia ndicho walichoandika.

Acacia imeona chapisho kwenye Gazeti la serikali la Tanzania la sheria mpya inayosimamia sekta ya maliasili. Sheria iliyopitishwa ni Marekebisho ya sheria ya Madini ya mwaka 2010, na sasa ni sheria rasmi na inatumiwa na mamlaka za Tanzania.

Acacia inapitia kuona athari ya sheria hiyo katika shughuli zake za uchimbaji madini kufuatana na mkataba wake na serikali ya Tanzania. Hata hivyo, kupunguza kungiliwa zaidi kwenye shughuli zetu, kwa kipindi cha mpito tutakidhi takwa lililowekwa hasa kuhusiana na kuongeza kiwango cha mrabaha kilichowekwa katika madini kama dhahabu, shaba na chuma cha 6% (Kimeongezeka toka 4%) na nyongeza ya 1% ya kusafirisha madini hayo.
Bingwa wa kupindisha hoja ii kujifurahisha,utapasuka.
 
5
Mi niwe muawazi sina elimu na jii mirabaha wenue elimu watujuze kiundani tunanufaikaje na hiyovkupanda had 6% na huo mrabaha una kokotolewaje na je kuna mapato mengine serikali inapata nje ya mrabaha na yale matrilion ya tume ni ya mirabaha tu? Na je nchi zingine inakuwaje kuhusu mirabaha yao haswa ghana na sauth africa

Nauliza haya ndugu nakwepa kufata mkumbo mwenye nia ya dhati naomba anieleimishe...kama umedhamiria kupotosha naokuomba niache hivi hivi kwanza

Sent from my D2502 using JamiiForums mobile app
Mrahaba ni kiasi mapato unacholipa kwa kutumia kitu ambacho sio chako kujipatia mapato hayo
Mfano unaweza ukamkodishia mtu shamba ukamwambia kila mgunia 100 atakayovuna basi magunia 6 atakulipa wewe kwa kutumia lile shamba lako, hayo magunia 6 ndio mrahaba
Na kwenye madini ndio hivyo hivyo, wanamaanisha kwenye mapato yao watatulipa 6% kwa kuwa madini ni yetu
 
Ha ha ha kumbe sio moja kwa familia,bali ni moja kwa kila kichwa...hapo imekaa vyema mkuu,ngoja nihakikishe vyeti vya kuzaliwa vinakuwa sawa.
Ndio hivyo, report ilionesha kuwa hiyo pesa iliyopotea ingeweza kununua Noah kwa kila Mtanzania. hahahaah.
 
Madini ni yetu, Mwekezaji/Capitalist/Exploiter anachimba analipa mrabaha only 0% - **% bado yote ni below 50% ambapo ungeweza ku.establish win win situation scenario, lkn unakuja hapa na ngonjera zako tutaneemeka how?
Uliza Robert Mugabe aliwezaje kula 51% na Mwekezaji 49%, kati ya wanaoneemeka na sie tumo?. (Cursed land)
Japo sikubaliani na hiyo royalty ya 4% na hii ya 6% lakini lazima haya mambo tuyaelewe vizuri ili hata tunapolalamika kuwa tunanyonywa basi tulalamike tukiwa na taarifa sahihi.
Ni hivi...royalty hukokotolewa toka kwenye gross revenue....yani kabla mwekezaji au muuza madini hajatoa gharama zake. Ukiichunguza vizuri utakuta kiuhalisia tunapata zaidi. Twende kwa mifano inayokaribia uhalisia.
Geita Gold Mine wanazalisha at least 500,000 ounces kwa mwaka. Hii maana yake kwa bei ya sasa ya around $1,200 kwa ounce, gross revenue yao kwa mwaka ni $600 million. Kwa royalty ya 4% ina maana wanatulipa $24million. Na kumbuka malipo ya royalty hufanywa in advance...yani ndio kibali cha kuruhusiwa kusafirisha mzigo.
Kwenye taarifa yao ya leo GGM wamedai kuwa kwa 2016 pekee wameingizia serikali $130 millioni. Sasa ukitoa hiyo $24 million ambayo kiwastani ndiyo inayotokana na royalty, maana yake ni kuwa kuna $106 million zimetokana na kodi nyingine....ikiwemo ile 30% inayolipwa kutoka kwenye faida.
Kiwastani kwa sasa migodi mingi inazalisha ounce moja kwa gharama ya $800. Hivyo twaweza kusema faida kwa ounce ni kama $400. Ina maana ounce 500,000 zitazalisha faida ya kama $200 million. 30% ya faida hii ni kama $60 million.
Sasa hii $60m na ile $24m zinaleta kitu kama $84m. Hii ni kama 14% ya revenue yao na ni 42% ya faida yao.
Kwa mahesabu yao hayo ya mwaka jana, ina maana kunabakia kama $46m ambazo huchangiwa na kodi nyinginezo...kuna zile za Halmashauri, kuna PAYE za wafanyakazi, kuna Skills Development Levy, nk.
Kifupi, hiyo 4 au 6% inayoimbwa sana sijui kwanini hatuambiwi na kodi zingine kubwa zaidi ya hiyo zinachangia asilimia ngapi...
 
Back
Top Bottom