Kaza Buti mkuu. Mie nilipitia hiyo Hali Tena afadhali wewe hujaathirika kivile. Mie nilliokolewa na familia Hasa mke na mtoto wangu. Kifupi nilitengwa na kuonekana SI baba Bora Wala mume Bora. Nilikonda Kwa madeni ofisini nilidharaulika kiafya nikaathirika . Heshimu uamuzi wako,punguza marafiki...
Ni kweli sindano zilikuwa zinachomwa kitovuni. Tena kwa kupishanisha leo ikichomwa upande wa kulia kesho upande wa kushoto. Ingawa si katikati ya kitovu.
Mimi ni muhanga wa hii kitu miaka ya 70 huko labda kukua na mabadiliko ya utaalam chanjo huenda zinatolewa kivingine siku hizi.
Acha kutoa siri za jeshi. Sisi tulio field tunakuelewa. Wao wamezoea light motivation speakers. Ndani ya humu JF wote ni wajuaji na wako vizuri financially. Niko chimbo nitalima ufuta na karanga mwaka huu nitarudi kama siyo hapa hata Pm tupeane ma ujanja.
Kitaalam tatizo la kupumua kwa wajawazito huchangiwa na kupanda kwa homoni ya progesterone.
Hata hivyo tatizo hutokea kwa muda mfupi kisha mambo yanarudi normal na maisha yanaendelea.
Mjina Mrefu witnessj
Waooo thanks my [emoji173] see you on Xmas night... you know the place and dressing code. The file X and plan b MUST be activated on that night.
I don’t really need anything as long I will be with you to make this Christmass beautiful for two of us...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.