Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Habari wakuu,
Naomba msaada, Mjamzito kupumua kwa shida wakati fulani huwa inasababishwa na nini?
Hii kitu inatatuliwaje? Maana hospitali walimpa tu dawa na kumwambia ni hali ya kawaida tu ila sioni mabadiliko.
Naomba msaada, Mjamzito kupumua kwa shida wakati fulani huwa inasababishwa na nini?
Hii kitu inatatuliwaje? Maana hospitali walimpa tu dawa na kumwambia ni hali ya kawaida tu ila sioni mabadiliko.