Recent content by JACOB MANG'OMBE

  1. J

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Wajinga ndo waliwao, shuwaini!
  2. J

    Ni ujinga

    Ni ujinga kuwonea wivu uliopitiliza mpenzio.
  3. J

    Unajua ukitaka kuoa maandalizi yakoje?

    Chaa kushangaza baada ya gharama zote hizo eti sadaka 10,000/=
  4. J

    King'amuzi cha Zuku

    Si mumjibu huyo jamaa swali lake asaidike, halafu muanzishe thread mpya yenye kutaka kuelezea hizo tofauti?
  5. J

    Msichana wa marketing anaitajika

    Mueleze! Maana siku hizi matapeli wengi hapa mjini.
  6. J

    Nafasi ya kazi na ajira ya kudumu.

    Kwahiyo kampuni yenu imejikita zaidi katika nini?
  7. J

    Hatimaye Mr Bean atangaza kuachana na uigizaji

    Majuto za king ni noma bana kwa hapa bongo kwetu.
  8. J

    Wanawake hupendelea zawadi gani?

    Wengine huweka zawadi katika ranks, unampa zawa5i anaitamanisha na pesa kwanza,...wanawake wa leo.
  9. J

    Unachukia or unampenda Diamond 'Platinumz'? Hii inakuhusu

    Talking of AY, namkubali kimataifa, anahit kimataifa na kijamii ana heshima zake, hana skendo. Inabidi wasanii wa bongo kuiga huo mfano.
Back
Top Bottom