King'amuzi cha Zuku

King'amuzi cha Zuku

Busara iko hivi: Ukipenda kukosoa wenzako,ni vema na wewe ukakubali kukosolewa.
Wewe umeulizwa swali:Zuku ni nini kama sio king'amuzi? Hujamjibu.Idimi kasema Ting ni service provider,wewe umekubali,je tuna kampuni hapa Tanzania inayoitwa Ting? Zuku ni kampuni,hilo wote tunafahamu,je decoder(ving'amuzi) zinaitwaje?

Halafu pia utuambie maana ya puplic broadcasters.Je ITV,EATV,CH10,TBC1 na Startv wenyewe si public broadcasters?Na kama sio sio,wao ni akina nani?

tafadhali tusiwe wavivu wa kufikiri na ku research..tumerahisishiwa na google ipo..tatizo nini? unataka kunionyesha nini??
 
Kama ni mtihani mngekuwa miongoni mwa wale wa juzi waliochora Zombi na mwingine Messi kwenye national exams!
 
ni kitumbua - source vikongwe wa bakita

Zuku ni content provider wanao uza vitumbua/set top boxes/decoder/ving'amuzi vyenye jina hilo hilo la zuku.

premier league - UBC mechi moja kwa wiki

chanel za movie zipo (kwa maoni yangu ni mbaya, movie zao ni za zamani zinaboa na zinarudiwa rudiwa mpaka kero)

News channels - hapa wamejitahidi BBC, SKYNEWS,MSNBC,BLOOMBERG,EURONEWS and so on

Local channels - tbc1, CH10 na CLOUDS.

customer care - matatizo hayatokei mara kwa mara ila ni MBAYAAA SANAAAAA, kuna wadada apo wamewekwa either hawajielewi au wanalipwa mshahara kama wa house girl wangu or even less.

conclusion
Kama si mtu wa kushinda nyumbani na una hitaji tv iwake atleast uone news nunua ikiwa na kifurushi cha elfu ishirini.

Kama unataka movies na sports(EPL) usinunue

kama ukinunua ukapata tatizo wasiliana na fundi aliye kufungia ilo dish. USIPIGE CUSTOMER CARE (hasa kama una hasira za karibu)

Amazing home entertainment ... at an affordable price - ZUKU Amazing
 
Zuku wako powa kwenye movies,series,documentaries,news na music....sports wanaonesha recorded games(football)....hzo channel 5 za epl walzokwambia ndo hzo za game 1 a week kama star tv,...na huezi kuona big matches
 
Mi nilikuwa nacho kingamuzi cha Zuku ila Saivi nimebadili Nina startymz ila nakushauri chukua azam Zuku sana Chanel nzuri na inaonesha vizuri sana ila SIKU hela imeisha huoni chochote wanakutaarifu SIKU 2,3 kabla nikifika ile SIKU wakikata huoni chochote kile tofauti na azam za local unaona hata miez bureee
 
Back
Top Bottom