JACOB MANG'OMBE
Member
- Mar 24, 2012
- 32
- 4
Mh humu!
mmmhhh mbona maneno makali hivyo???? Chuo nini katika ajira, kunatuliomaliza UDSM college ngumu na tuna mi upper second with hons class GPA tupo kitaa na hatunakazi. Cha maana kama hauna cha kushauri kaa kimya.product za UDOM utazijui tu,nafikiri sasa mtaanza kuelewa kwa nini tunakiita chuo cha kata
ww unayejiita mangosutu unaoneka lembukeni na hujui chochote utabaki kuisema UDOM nA Utasota kitaa hadi wachoke wanao kupa nauli na pesa ya kutolea kopi, ivi mpaka sasa hujui kazi kupata it doesn't matter what you know but whom you know? hapo chuo kama kina matter uliza wenzio wamesoma UDSM nA Wapo kitaa. tumia akili na sio nywele unapo commentmmmhhh mbona maneno makali hivyo???? Chuo nini katika ajira, kunatuliomaliza UDSM college ngumu na tuna mi upper second with hons class GPA tupo kitaa na hatunakazi. Cha maana kama hauna cha kushauri kaa kimya.
Kuuliza si ujinga jamani,hata wakubwa huuliza
jamaa ameomba msaada hajasema anatokea udsm au udom au mzu! Tena nijuavyo mm niliyemaliza udsm mwaka huu, aisee kile chuo kimeoza tu kwa sasa labda wakoment waliosoma zamani lakini sio tuliomaliza mwaka huu na bad nipo kitaa na statistics yangu wakat masela kibao wa kozi kama yangu waliomaliza udom na mzu wanakula mishahara tu????
za wapi hizo kuuuliza na kazi vimeingilinaje. Kaza buti jembe langu asikutishe mtu huku maofisini kwanza wako vilaza kibao, sio ujanja sana kupata kazi kuna vitu vingi, na bahati zimo, apply kila post unayofiti kuna moja inaweza kuwa bahati yako.Kama ndo hivyo hata hiyo kazi hutaiweza.
Sasa ndugu yangu kama unashindwa kuelewa jinsi ya kuwawekea hizo taarifa muhimu, hiyo interview yenyewe utaiweza kweli au unawawekea kauzibe wengine? Kwa sababu vitu vyote vilivyopo hapo ni vya kawaida tu, au umekuwa wa kuunga kama Mulugo?
product za UDOM utazijui tu,nafikiri sasa mtaanza kuelewa kwa nini tunakiita chuo cha kata
Acheni ubwege msela kauliza kama huna jibu kaa kimya.mnajifanya wajuaji wakat hata hizo kazi na nyinyi pia hamna.ujuaji mwingi kudadeki wakat kila siku mnagongea hata hela ya daladala.mibichwa mikubwa kuwaza hamuwaz.
Nipo napambana na utafutaji wa kazi si unajua tena maisha kila siku ni mchakamchaka. Nimekutana na kazi kwenye gazeti na naona inanifaa sana. Mode of application ya kazi imekaa kama ifuatavo
To apply please send
- Your current CV
- At least 3 references with current email and telephone contact
- Your salary history
- Cover letter describing your interest in this post
Maswali yangu ni namba 2 pale anaposema kuwa atleast 3 references with current email and telephone contact anamaanisha wale marefari wanaokuwa kwenye CV yangu ama anamaanisha marefari wangu watume references sehemu hiyo nayoaply kazi?
Na hiyo namba 3 inayohusu salary history inamaanisha niandike salary history yangu kwenye application letter ama niatach salary slip zangu kama mbili tatu vile. Please mwenye uelewa anisaidie maana natamani sana kuiaply hiyo kazi na sitaki kukosea kwenye hiyo applicatio yangu
Kwenye C.V weka majina ma3 ya wadhamin wako yenye namba zao za cm na email adress, pia weka historia yako ya salario kwa kila kazi uliyopitia kabla ya kuomba hii...Cover letter elezea ujuzi au elimu yako itaisaidia kampuni hiyo nini..utaleta changes gani kwenye kampuni than b4 ..half mwishon mwa cover letter andika thank you in advance then nakuhakikishia utapata kazi hiyo labda uwe na gundu..aaahh
Kwel m2 mzima utakuwa umepitia madrasa au sunday school...au mzee njaa tu za kutafuta kazi hadi unarejea vitabu vya Mungu..aaah jokes, kila la kheri mzee hope watakushort list and finally employed...CheersNaskia tu eti mpaka leo hawajashortlist, wakishortlist nimo kusema cha ukweli maana nina imani ya kuhamisha milima