Topic: Upgrading Driving License Classes (Kutoka B na D kwenda C1, C2, na C3)
Habari wakuu,
Ningependa kujua kwa undani process za kuongeza madaraja ya leseni ya udereva. Kwa sasa nina madaraja ya B na D, lakini nataka kuongeza C1, C2, na C3 ili niweze kuendesha magari yenye madaraja ayo niliyo...
Brevis Aka brevenga ni moja kati ya gari kali kwenye level za kina crown mark x kuhus ulaji wake wa mafuta me naona ni sahihi kwa city driving kwasabu inakuja na option ya Awd tofauti na izo crown na mark x ndiyo maana lazima libugie wese
Mada na maelekezo yana pishana kabisa yani kwa mtu kama unatokea airpot darajani kuelekea airpot terminal 2 ni kipengele kwa dereva asie mzoefu maana akuna mataa pale yanayo ruhusu mtu wa darajani kuelekea terminal 2 na njia yenyewe aisapot yani ili uende lazima utembee na road kama unaelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.