Wakuu, naomba ushauri kuhusu account nzuri ya kuweka saving 💰
Kwa sasa nina account ya NMB ambayo ndiyo natumia kwa mshahara na matumizi ya kawaida. Nataka kufungua account nyingine maalum kwa ajili ya saving, ili hela ya matumizi isitoke na hela ya saving iwe separate.
Nimebaki kwenye options...
Mtaani kwangu nime mshawishi rafiki angu kajiunga katumia miezi kadhaa kaacha aitumiii tena sahv yani jamiforums ina hitaji watu wanaopenda mijadala mbalimbali sio wazee wa trends tiktok nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.