Subaru SJ5 kutetemeka

Subaru SJ5 kutetemeka

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,319
Reaction score
3,432
Wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote.

Naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya, nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari.

AHSANTENI
 
Kuna uwezekano mkubwa ikawa ni issue ya Imbalance wheel au issue ya matairi,anza kwa kufanya wheel balance,pia angalia matairi kama yamechakaa,

kutetemeka kwa gari kwenye hiyo speed kwa asilimia kubwa ni issue ya matairi,pia angalia issue ya suspension.
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
Jalibu kuangalia Wheel balancing ,wheel Alinegment na rims wenda imepinda
 
Kuna uwezekano mkubwa ikawa ni issue ya Imbalance wheel au issue ya matairi,anza kwa kufanya wheel balance,pia angalia matairi kama yamechakaa,

kutetemeka kwa gari kwenye hiyo speed kwa asilimia kubwa ni issue ya matairi,pia angalia issue ya suspension.
ahsante naamini inawezekana pia hii ikawa sababu kwa kuwa nilibadilisha tairi moja la nyuma niliweka jipya liilokuja na gari lililpasuka kwa hiyo inawezekana tairi jipya limeleta imbalance,na matairi yaliyokuja na gari hayajachoka yapo OK
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
@ MadMax, Lambardi, Offshoremen, Prodox
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
Mounting na center rubbers
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
Hapo mchawi ni steering rack
 
Mambo matatu makubwa ni haya (a) wheel balancing na wheel alignment,
(b) engine mounts, (c), tie rod ends na ball joints, Hii ni kwa gari ya aina yoyote, siyo Subaru yako tu.
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
Check yafuatayo
1. Tyre size....kama umeweka tyres tofauti tofauti lazima gari ita behave hivyo
2. Wheel balance and alignment
3. CV joint kama zimechoka
4. Gearbox na Engine Mounts kama zime worn out
5. Kama uliwahi ziba mojawapo ya tyre kwa kutumia OKO basi ndio sababu maana above 80kph huwa Ina behave hivyo
So chunguza kimoja kimoja kati ya hayo
 
wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote,naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya,nipo remote area ambapo sina access ya mafundi uhakika wa gari ,AHSANTENI
Mambo vp?? Asee pole sana,ili ni tatizo common kwenye sj series na mara nyingi ni drive shaft ikague vizuri kama sio apo unaweza endelea na kucheck alignments,tie rods n.k ila anza na drive shaft
 
Back
Top Bottom