hayo magari ya halmashaur ndo yanayoongoza kwa kupita hii barabara.
Hujakosea kabisa....na mengine yanabeba abiria pale Mwenge kwa nauli ya elfu2000 hadi Mbezi.
Rede nazo zilikuwa zina type.
1. Rede ya kawaida
2. Rede ya vijiti
3. Rede ya Mateka
4. Rede ya Mchanga..nk
Pia mchezo wa kula mmbakishie Baba.Unakula ukidondosha kijiti,unachezea kichapo hadi ufike kwa kushika!"
Mimi wangu alikuwa wa umri huo alikuwa anasumbua sana....mama nataka kwenda shule,akiamka tu ndio ulikuwa wimbo.
Nikampeleka shule akiwa na miaka 3 na miez9....week ya kwanza ilipoisha akaja style nyingine.Mama sipendi shule....! Alikuja kuzoea lakini.
Angalizo: Miaka4 kwenda mitano ni muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.