Breaking newz:ndege iliyopotea yapatikana

Breaking newz:ndege iliyopotea yapatikana

Status
Not open for further replies.

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1395671696.925316.jpg Kwa mujibu wa Waziri Mkuu wa Malaysia, ndege hiyo imethibitika kuzama katika bahari ya Hindi karibu na Australia.source east africa radio

=======================================================
Ndege hiyo wala mabaki yake bado hayajapatikana
=======================================================
 
Abiria wote wadhibitika kufariki dunia RIP marehemu wote!
 
BREAKING NEWS: Ndege iliyopotea ya Malaysia Flight 370 yapatikana huko Southern Indian Ocean.

Taarifa zinaonesha kuwa abiria wote 239 waliokuwa kwenye hiyo ndege wamekufa.
source: East Africa Radio
 
So sad news jamani. Mungu awajalie tumaini la moyo wafiwa. Kuna mama mmoja mchina juzi alikaririwa na BBC akiwa na matumaini kuwa muwewe hajafa na anategemea kuona akimpigia simu, "I will be very very happy to see his name appearing in my phone....".Alikuwa anaongea kama amechanganyikiwa hivi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom