Hii inamaanisha nn kwa demu

Hii inamaanisha nn kwa demu

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn
 
eye to eye contact, wachache sana wanaweza hilo zoezi!

eyes are other sources of making love.
 
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn

Umeshaangaliwa na dem kidogo tu ushajua umependwa...labda anakufananisha na binadam wa kwanza.
 
mkuu tangu juzi post zako tete sana,unajaza server na kusabisha topic zingine kuonekana za zaman na kufanywa invalid
 
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn

Toa utoto wako hapa, au ndo upo puberty stage!
All the topics you start are teenage like.
 
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn

Sorry thatlimemletea mgogoro mkubwa hata yeye anajiuliza mbona huyu kaka ananianglia kila tukikaa then anajiuliza inamaanisha nn??...
 
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn


Inamaanisha unafanana na kibaka aliyekoswakoswa kuchomwa moto.
 
Anaweza kuwa anakufananisha na teja flan aliyewahi kumuona mitaa flan, au anakufananisha na kibaka aliyewachomwa moto sasa anajiuliza ulitokaje wakat ulikuwa ndani ya tair?
 
Anaweza kuwa anakufananisha na wale jamaa wa kule Gombe maana hata mmasai mmoja alipo fika Gombe akawaangalia kwa muda mrefu baadae akatikisa kichwa na kusema " hii mutu tu ila imelogwa" na wewe subiri kuambiwa hivyo
 
Kuna kipindi nilisumbuliwa sana na panya nyumban kwangu.sasa siku moja niliumia mkonon nikachukua majivu nikapaka kukata damu.Mabaki ya majivu yalikuwa juu ya meza,kuamka asb tukakuta panya 2 wamekufa!Basi usiku uliofuata tukaweka tena,asb tukakuta wamekufa!Nikajua tumegundua dawa ya panya.Baada ya wiki ktk maongezi na jiran nikajua yeye ndiye aliyekuwa akiweka sumu ya panya kwake,wanakuja kufia kwangu!

Heri lee,wakati mwingine UDHANIAVYO SIVYO.
 
Back
Top Bottom