you are not serious.............40yrs halafu akikosa mtoto miaka hiyo aseme karogwa au nini.
umri wa kuoa unategemea na mtu mwenyewe kama yuko tayari kifikra,kimwili na kifedha.kama anavyo vyote what is he waiting for,magonjwa?
huwa inasababishwa na minyoo ya aina fulani jina nimelisahau ambao hutaga mayai eneo hilo na hivyo mayai hayo husababisha muwasho....kuna dawa fulani ya kupaka inaitwa preparation ni ya tube itafute uwe unapaka na vilevile unywe dawa ya minyoo
what doesnt kill you makes you stronger.huna haja ya kuanza kujipa tabu na kujiumiza moyo kwa kumuwaza huyo ambaye wala hakua wa kwako.ushauri wangu ni kwamba simama na uanze maisha mapya acha kupoteza muda wa kumuwaza ambaye ana mtu mwingine anayemuwaza haswa huyo wa mlimani city.........ila...
Natumai wote tu wazima,
Hii imemtokea rafiki yangu anayesaka ndoa kwa udi na uvumba,na akanisimulia jinsi alivyokutana na huyo mtu wake.baada ya kunielezea yote hayo nikaamua kuja kuwauliza na nyie mtoe mtizamo wenu juu ya hili.
hivi umekutana na mwanaume leo yani humfahamu na wala yeye...
kwa mimi binafsi nakushauri usimuache kisa umeona picha alizopiga akiwa"anaget busy na ex wake" coz hata ukiamua kutoka na msichana mwingine ukamuacha huyo as long as she is not a virgin ni lazima awe ameyafanya hayo mambo tofauti ni kwamba yeye hakupiga picha tu.
ushauri mwingine ni kwamba...
tafuta jinsi ya kumwambia aelewe ILA SIKU NYINGINE USIJARIBU KABISA KUCHEZA NA MOYO WA MTU.kama ulijua hayo yote ya kabila lake, umri wake na kwamba una mtu mwingine kwa nini uliendelea naye mpaka mkapelekana si chini ya mara tatu.whyyyyyyy??????????
.............................What goes...
pole,ila ninachoweza kukushauri is that kila unapokua unamkumbuka usiwe unawaza mazuri yake coz yatakuumiza moyoni just think about his bad things that he has ever done to you.......ni ngumu ila jaribu it might work
if you only knew how it feels like kuachwa bila kosa lolote,usingekua unafanya hivyo.
ninachoweza kukwambia ni kwamba"try to appreciate what you have and grow up"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.