Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

kabla ya kusema hivyo fanya research ya kutosha ili usije ukalaumu vitu ambavyo sivyo. in any case kama ni kweli then i pity medical profession and ningeomba Mungu ... Pili iwapo hoja hii ni ya kweli basi ninaomba
Unani slam nifanye research kwanza halafu na wewe unaanza ku criticize wahudumu wa afya. Watanzania tunapata tabu sana kwenye kujieleza, mfumo wetu wa elimu ufumuliwe.

Ndugu, jamaa, marafiki na wote tulioguswa na msiba huu, poleni sana. Mimba ilipona?

Lakini ni lazima tu deal na vyanzo vya maternal death incident ambayo iko extremely prevalent in our country, ikiwemo medical malpractice. Habari ya Mungu ametwaa Mungu amegawa ni upupu, God doesn't play dice.
 
Unani slam nifanye research kwanza halafu na wewe unaanza ku criticize wahudumu wa afya
sijawacritize wahudumu wa afya nilijaribu tu kurespond hoja yako ulyosema hivi "
quote_icon.png
By Anheuser

Most likely sababu ya kifo ni medical malpractice za waganga wa kibongo
,

.
Watanzania tunapata tabu sana kwenye kujieleza, mfumo wetu wa elimu ufumuliwe.
mkuu nadhani nimejieleza vizuri sana labda wewe mwenyewe ndo umeshindwa kunielewa. hata hivyo kama mimi peke yangu ndo nimeshindwa kujieleza usiwajumlishe watanzania zaidi ya mil 40. Wapo watanzania wazuri wanaohesabika duniani, usiwadhalilishe kwa ajili ya kiumbe kimoja tu (mimi). naomba uniwie radhi kama nimekukwaza hapa.

Habari ya Mungu ametwaa Mungu amegawa ni upupu, God doesn't play dice.
kila kitu Mungu ndio huneemesha na kumsifu kunapendeza. tunapoweka mikakati ya kukabiliana na mambo kama haya pia lazima tumkukumbuke mungu ili aweze kuneemesha mikakati yenyewe. Ni kweli Go do not play dice but he could as well protected the death if he so wished regardless of prevailing circumstances so ipo sawa kabisa tunaposema "Mungu ametwaa na Mungu ametwaa". Remember no one can take away life except God
 
Dah......Hizi ID bana..

Inauma sana jamani...

Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani....

Upumzike kwa amani 'B'......Daima nitakukumbuka na kukuombea rafiki..

Bala.
 
Aisee hakika watu ni uvuli tu wa maisha ya yaliyo mbele yetu...................... Mungu amlaze mahari pema
 
Innah Lilahi Wa-inaa illahi Rajiooon!!!!!
inaruhusiwa Chiko...Ubarikiwe sana kwa kumtakia Mpendwa wetu Kheri Njema kule aliko hata kama binafsi Dua hiyo sijaielewa lakini Mwenyezi Mungu ameipokea. Najua ipo siku pia nitajifunza nakuielewa vema
 
Nimechelewa kuiona hii taarifa.
Kweli tumeondokewa na mwenzetu mpendwa.
Pole kwa wafiwa. Mungu awape subira na nguvu ya kukabili wakati huu mgumu.
Kwa marehemu ninamuombea Malazi Mema Peponi - Amin, Amin!
 
Innah Lilahi Wa-inaa illahi Rajiooon!!!!!

inaruhusiwa Chiko...Ubarikiwe sana kwa kumtakia Mpendwa wetu Kheri Njema kule aliko hata kama binafsi Dua hiyo sijaielewa lakini Mwenyezi Mungu ameipokea. Najua ipo siku pia nitajifunza nakuielewa vema
Inamaanisha "Hakika sisi sote ni wa (tumetoka kwa) Mungu na hakika tutarejea sote kwake".
 
Back
Top Bottom