Mimi ni bonge la handsome na ki ukweli nakubalika kirahisi sana kwa wanawake ingawa si mtu wa kujali sana masuala ya mapenzi kwa vile ninajua madhala ya kuendekeza sana. Hata hivyo nina tatizo moja kubwa nalo ni kuachia mapema hata kwa mtu niliyempenda sana mwanzoni. Hapa namaanisha kwamba ingawa si mtu wa kubadilisha wanawake mara kwa mara lakini kwa yule atakayebahatika kukutana na mimi basi huwa tuna muda mfupi tu kabla sijamwacha. Huwa inakuwa ngumu sana kumwacha mwanamke ambaye hajakukosea jambo lakini huwa najitahidi hadi naweza na yeye kubaki kunitazama tu. Kwa kuwa sipendi hali hii hebu wadau mnipe ushauri ni vipi nidumu na demu mmoja. Nawasilisha.
watu bwana,wameconcetrate hapo aliposema yeye handsome mnasahau kumpa ushauri...kwani kosa kuwa confident na looks zako????
mie nakushauri uwe unawaambia hao wadada mapema kuwa you are not ready to settle down,wajue terms and conditions za engagement na wewe! ili wasijiweke mazima...hata hivyo naamini una high standards ulizojiwekea ambazo ungependa mwanamke awe nazo....hao wote uliowapitia hajafikia hizo standards ukimpata aliyezifikia mwenyewe utasettle......au with time utaona kuwa labda hizo standards hazifikiki utaface reality na kuanza kucompromize na kuchukua standard za kawaida.
Pepo akutoke mara mojaMimi ni bonge la handsome na ki ukweli nakubalika kirahisi sana kwa wanawake ingawa si mtu wa kujali sana masuala ya mapenzi kwa vile ninajua madhala ya kuendekeza sana. Hata hivyo nina tatizo moja kubwa nalo ni kuachia mapema hata kwa mtu niliyempenda sana mwanzoni. Hapa namaanisha kwamba ingawa si mtu wa kubadilisha wanawake mara kwa mara lakini kwa yule atakayebahatika kukutana na mimi basi huwa tuna muda mfupi tu kabla sijamwacha. Huwa inakuwa ngumu sana kumwacha mwanamke ambaye hajakukosea jambo lakini huwa najitahidi hadi naweza na yeye kubaki kunitazama tu. Kwa kuwa sipendi hali hii hebu wadau mnipe ushauri ni vipi nidumu na demu mmoja. Nawasilisha.