Matatizo hayakimbiwi shosty halafu ubongo kazi yake ni kukumbuka hivyo huwezi kumsahau foreva hata ujidanganye vipi.
Be buzy, fanya mambo unayoyapenda/activities, chukulia kama uliyopitia ni changamoto ya maisha, usikutane na hao ndugu zake labda iwe kwa bahati mbaya, uwe na mawazo +ve kuhusu maisha yako na unapokwenda, msamehe kama alikukwaza ili usiendelee kuwa na kinyongo nae, sali sana na jichanganye na rafiki zako!
Sijui nikwambiaje, nilimpenda sana mtu alivyonitenda sikutegemea. Watu wanasema kuwa uyaone lakini mimi nilihisi kuzeeka! Sijamsahau ila muda umekwenda nimepata courage ya kuendelea na maisha yangu.
futa namba yake kama bado unayo,chana picha zote kama unazo,,jiweke busy na mambo mengine kabisa,,jitahidi ukikutana na hao ndugu zake kujaribu kukwepa story au usikae nao sana kama unahisi watakukumbusha na jaribu kuonyesha wao kuwa hupendi kukumbushwa kuhusu mpnz wako..I want to delete this man permanently in my heart and my life. Nipeni ushauri, nifanyeje? Nikutanapo na ndugu, jamaa na rafiki zake ambao tulizoeana nao sana, nashindwa kumsahau na ninatonesha kidonda upya.
Naombeni ushauri wenu.
jitahidi tu mamy mana hata mimi yalinikuta na mbaya zaidi rafiki yake wa karibu kila siku nakutana nae mana tunafanya kazi gorofa moja , so jitahidi tu kwa uwezo wa mungu utashinda.Niejitaidi sana Sister kumsamehe ila mh, ni ngumu sana ila kwa uwezo wa Mungu I believe ntashinda.
Thanks kwa ushauri
pole,ila ninachoweza kukushauri is that kila unapokua unamkumbuka usiwe unawaza mazuri yake coz yatakuumiza moyoni just think about his bad things that he has ever done to you.......ni ngumu ila jaribu it might work
Mbaya zaidi nina mtoto na yeye na kila siku anauliza where is dady!Natamani kumwambia he is dead ila ntamsononesha mwanangu. Im trying sana kusali, na naamini nitamsahau tu siku moja.
Thanks Belinda
kuzaa na mtu co 7bu kbs
toa hlo wazo kwnz,then utaweza kusonga mbele..
Hii ndio lugha gani tena Mkuu?heee..Kawa mbwa adi asi consider kuzaa nae? ..
Kutokusahau ngumu!Mchukulie kawaida sana,mdo mdo utapoteza,bydway kakutenda kwa sana ad kumsamehe ngumu! Mana ka ni sampuli ya kutokujilekebisha na kawaida yake, bas mtie BAN YA MOJAKWAMOJA
Hii ndio lugha gani tena Mkuu?