isabella
Member
- Aug 22, 2011
- 23
- 16
Natumai wote tu wazima,
Hii imemtokea rafiki yangu anayesaka ndoa kwa udi na uvumba,na akanisimulia jinsi alivyokutana na huyo mtu wake.baada ya kunielezea yote hayo nikaamua kuja kuwauliza na nyie mtoe mtizamo wenu juu ya hili.
hivi umekutana na mwanaume leo yani humfahamu na wala yeye hakufahamu ila ndiyo mnataka kujuana.siku ya kwanza mnaanza kuchat kwa simu mwanaume anaomba kufanya mapenzi na wewe ili ajue upo vipi huko chini na ajue kama aendelee na wewe au atafute mtu mwingine kama akikukuta hauko vile anavyotaka.
Swali langu ni kwamba je huyu mtu anakua amekuonaje,that u are cheap au?
Je ni kweli yuko serious kama anavyosema?
Hii imemtokea rafiki yangu anayesaka ndoa kwa udi na uvumba,na akanisimulia jinsi alivyokutana na huyo mtu wake.baada ya kunielezea yote hayo nikaamua kuja kuwauliza na nyie mtoe mtizamo wenu juu ya hili.
hivi umekutana na mwanaume leo yani humfahamu na wala yeye hakufahamu ila ndiyo mnataka kujuana.siku ya kwanza mnaanza kuchat kwa simu mwanaume anaomba kufanya mapenzi na wewe ili ajue upo vipi huko chini na ajue kama aendelee na wewe au atafute mtu mwingine kama akikukuta hauko vile anavyotaka.
Swali langu ni kwamba je huyu mtu anakua amekuonaje,that u are cheap au?
Je ni kweli yuko serious kama anavyosema?