MADIDINGWA
Senior Member
- Jul 26, 2012
- 118
- 15
wanaume ndo zenu kutuharibia, huwa mnatuacha huku roho zinauma yawezekana huyo x wake roho inamuuma sana kuona uko na wewe, kelele za chura hazimzui tembo kunywa maji. kaza buti broo nyie endeleeni na mapenzi yenu wala usiwe na presha.