Ananinyanyasa kifikra,naombeni ushauri wenu plz

Ananinyanyasa kifikra,naombeni ushauri wenu plz

Tatizo la hawa Warugaruga ni kujifanya mashujaa kunaaponza. Wanaingia mjini kwa pupa lazima wachunwe sana. Chezea weye!
wanasema baby chop chop my money i don caaaaaare!
 
Piga ChiGa chin anakudharauu huyoi...free stress

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hahahahaa, unaonekana na wewe ni mkali kwenye hayo mambo ehh? LOL!
A%20S%20embarassed.gif
akuuu sipendi kuumiza mtu bahati mbaya huwa naumizwa
 
wanasema baby chop chop my money i don caaaaaare!

Huo ndio ushujaa wenyewe niliousema; Hela zenyewe hawana, Kodi zinawashinda bado wanaendekeza upuuzi. halafu wanakuja kulalamika humu Jamvini! If they didn't care mbona wanalia sasa? Waste of time this is!
 
akuuu sipendi kuumiza mtu bahati mbaya huwa naumizwa

Ndio maisha yalivyo. Pole sana. Ila nimeipenda sana ile "eti huyo ni dereva tax airpot". Hahahaaa. Jamaa ataua mtu.
 
Tupa kuleee..nini kuhangaika na mwanamke bana.
 
Arghhhhhhhh...mod please naomba mada kama hizi za mtu kuzinguana na demu/mpenzi au rafiki zisiwekwe hapa...hao ni watu ambao huna liability nao ya aina yoyote..unaweza kumfuta na kusajili mwengine kiurahisi bila hata ya kutumia bytes zetu kufikiri na kukushauri mtoa mada.

Napendekeza mada nzito kama za wachumba na mahusiano yaliyo-ndani ya ndoa au ndoa to be soon ndio yawe yanajadiliwa hapa...amin amin nawaambia muda si mrefu atakuja mtoa mada katika jukwaa kama hili kisha atoe upuuzi usio-midhilika hata kidogo.

Mndengereko ningekushauri kama huyu demu wako angekuwa hata ni mchumba na ushatoa mahari kwao na bado wiki 2 muingie kanisani..au ningekupigia simu au ningeku-pm kama huyu ni mkeo na mnaishi pamoja then tunahitaji kuokoa ndoa na maisha ya watoto yako at risk.

Am so sorry man...u dont have to count me in.
 
mweeeehh!! pole ila punguza hasira maisha yeneywe mafupi haya.vuta subra utampata wako ila usifanye maamuzi ya kumtafuta mwingine kwa sasa. jipe some time utamsahau tu, tumeumbiwa kusahau maumivu.halafu punguza kutumia matus* bana kwani kila utakaye kumix na wengine utakuwa unatukana tu?? tulia jitafakari jiulize nini wataka katika mahusiano? mtu wa aina gani wataka kuwa naye? kwa nini ?then ukipata majibu ya haya maswali waweza kuanza kumtafuta mwingine amabaye mtapendana kwa dhati.
 
Mndengereko, wewe ni taxi dereva bana.
Halafu jamaa aliambiwa, 'dont worry honey, nimeita tax, will miss you mwaaah baby. Take care ok...?'.
Mndekereko bana, kusoma hujui hata kuangalia picha?

Hivi wandengereko hawana undugu na wakwere???
 
Alishakuambia ni rafiki yake, kwani vibaya kumuaga rafiki ww vipi ebu punguza jazba na hasira, ungemkuta anamegwa si ungejinyonga.Kaa na mwenza wako muulize kwa utaratibu atakumbia ukweli...utakosa mke.
dah... lolest....ushauri wako unaendana sawasawa na ID yako!
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce
swali: ulikuwa kwenye Coma kabla ya kuwa naye? kama jibu ni NDIYO kuendeleza uhusiano INAHUSU SANA. Kama hapana, mtu mzima anapewa kichwa cha habari tu, insha anaandika mwenyewe....
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce

Vumilianeni maisha ya siku hizi ndivyo yalivyo. Kaeni muyaongee, ikishindikana ndo uchukue hatua nyingine

Ila pole sana, inauma sana unapojua mwenzi wako anakucheat unajua, sana inauma.
 
Just developed a rule and a way of life this is just b4 marriage,once I break up that's for good no coming back,caught you cheating that means its done kwani kama ulinipenda usingefanys vile I love but I can forget you in just hours it can be 100 hours

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mkuu, kuwa makini hapo maana kuna mawili :-
  • Labda ni kweli ni rafiki yake, sema tu wewe ndio hujiamini tu. Maana inawezekana wakawa na urafiki mzuri na wasiwe wapenzi tena kama zamani. Labda niulize, huyo mwanaume naye ana mtu? je, anakuchangamkia kama shemeji akikuona au hampatani? Kuwa makini usije ukawa unamuhukumu mtoto wa watu buree.
  • Au la pili ni kuwa, anaweza akawa anakucheat kweli, kama huyo jamaa hana mtu wanaweza wakawa wana mambo yao. Na kama imefikia unamuita Girl wako "malaya" basi kuna kitu cha ziada unachokijua thats why umejiamini ukamuita hivyo

Just, kuwa makini kwenye uamuzi, fuata moyo wako unasema nini ukiwa na ushahidi na sio kumuhukumu kwa kuhisi.

ingawa sina cha kusema, nimeupenda ushauri huu
 
unataka umsahau eeeeeeeeee simple sana kunywa sumu ya panya tu
 
what doesnt kill you makes you stronger.huna haja ya kuanza kujipa tabu na kujiumiza moyo kwa kumuwaza huyo ambaye wala hakua wa kwako.ushauri wangu ni kwamba simama na uanze maisha mapya acha kupoteza muda wa kumuwaza ambaye ana mtu mwingine anayemuwaza haswa huyo wa mlimani city.........ila mlimani city napo pamepata umaarufu siku hizi kwa yale mambo yetu.ila pole sana
 
What doesn't kills makes me sponger huo ndio ushauri ninaouchulkua thanx kwa wengne kwa ushauri mlionipa though kuna wengne wameniandika vbaya eti mm dereva teksi poa lakin life goes on
 
Back
Top Bottom