ndio umri aliooa mume wangu, na mpaka sasa Klein ni bro mwenzie na sio mtoto kwa jinsi walivyokuwa vijana. bifsi napenda sna akama mtu anajitambua basi aoe mapema na hii ni kama pia ana kazi na kipato. umri wa 25 ni mzuri zaid as mwanaume anaanza majukumu mapema na at 40 anakaa kuvuta raha na mkewe as ninavyokula raha kwa sasa aluuu!
Dada gfsonwin, shikamoo..
Nimetafakari nikaona huyu kaka (mdogo mtu) anayepewa ushauri at 32 na bado anauchukua hivyohivyo basi ni sahihi akangoja mpaka 40 hivi kwa sababu to me he looks IMMATURE aisee...unajua bana hata ukifika 20 na upo mature enough huwa huhitaji mtu akushauri yani watu wanakuona tu na wewe mwenyewe unakuwa na ile inner conviction unaoa bwana.
Tatizo la huhu mdogo mtu anafuata SOCIAL CYCLE/CIRCLE?? ndo maana anaona kama anachelewa...NDOA NI WITO!!!!!
- Kuna ambaye at 25 yupo mature enough to get married ila hajapata wa kumuoa
- Kuna mtu at 25 amempata wa kumuoa, yupo mature enough ila bado anajijenga
- kuna ambaye at 32 yupo vizuri kiuchumi but highly immature....
Dada gfsonwin, shikamoo..
Nimetafakari nikaona huyu kaka (mdogo mtu) anayepewa ushauri at 32 na bado anauchukua hivyohivyo basi ni sahihi akangoja mpaka 40 hivi kwa sababu to me he looks IMMATURE aisee...unajua bana hata ukifika 20 na upo mature enough huwa huhitaji mtu akushauri yani watu wanakuona tu na wewe mwenyewe unakuwa na ile inner conviction unaoa bwana.
Tatizo la huhu mdogo mtu anafuata SOCIAL CYCLE/CIRCLE?? ndo maana anaona kama anachelewa...NDOA NI WITO!!!!!
- Kuna ambaye at 25 yupo mature enough to get married ila hajapata wa kumuoa
- Kuna mtu at 25 amempata wa kumuoa, yupo mature enough ila bado anajijenga
- kuna ambaye at 32 yupo vizuri kiuchumi but highly immature....
Mentor unaoa lini?
Natalia huyu mdogo wako unataka afuate katiba ya tanzania nini kugombea urais mpaka uwe na miaka 40 na kuendelea? Kama ameshapata aoe. Mimi 31 bado natafuta nikipata naoa leo leo pasipo kusubiri.
kwa jinsi watu wanavyolalama kuhusu ndoa,nawashauri kizazi kipya waoane wakiwa na umri mkubwa zaidi,wanaume oeni mkiwa na miaka 45 hapo ni kwa uchache wanawake miaka 35.shida yenu mnaingia kwenye ndoa huku mkitaka kuleta ujana kwa hiyo malizeni ujana wenu weeeeeee mkichoka ndio muingie katika taasisi hii ambayo wenye kujiheshimu tunaifurahia sana
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
Mdogo wangu anamiaka 32 anataka kuoa nimemwambia asubiri mpaka miaka 40 .kwa sababu miaka40 mwanaume ndio anajua anataka nini na hapo mara nyingi waliooa mapema wanafile for divorce na miaka 40 mtu ndio maisha yake yametulia.Nimekosea au ?i'm scared to death mdogo wangu Asije akaharibu maisha yake .He is doing well na nimemshauri aendelee kudate wanawake tofauti ili awe na uamuzi mzuri .
Najuwa natalia wewe utakuwa mke maana wengi wenu ndiyo wenye mawazo hayo hasa ukikuta umeishatendwa!Je wewe umeolewa na miaka mingapi? Maana isije ikawa mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?Kama na wewe bado hujaolewa na umri wako ni abave 32 yrs maana umesema mdogo wako ana 32 yrs basi uandike maumivu maana probability ya kuolewa ni poison (yaani ni ndogo sana).Hivyo usimdanganye mwenzako kwa umri huo anapaswa kuwa kwenye ndoa tayari unataka aje kulea wajukuu?
you are not serious.............40yrs halafu akikosa mtoto miaka hiyo aseme karogwa au nini.
umri wa kuoa unategemea na mtu mwenyewe kama yuko tayari kifikra,kimwili na kifedha.kama anavyo vyote what is he waiting for,magonjwa?
Life span 70 USA .alizaliwa USA bongo anakuja kusalimia tu hata Kiswahili hajui vizuriutamuua mdogo wako mapema sana halafu unataka watoto uwalee ww au yy mwenyewe? kwa sbb atakapozaa na miaka 40 na lifw span ni miaka 45-50. inamaana hatawalea watoto wake so watabaki chokoraa tu bila kuwafikisha mahali pazuri. think twice.
Hivi kwa nini watu mnapotea sana?, sababu ya kuzeeka mapema sio sababu, yupi bora, ambaye hajazeeka na hana uwezo wa kusomesha watoto au aliyezeeka lakini ana miradi ya kutoshana watoto hawana shida?, is the main purpose of marriege kids only, kabla mtu hajaoa au kuoelewa bora akajiuliza ni nini anatafuta kwenye hiyo ndoa, am 30, i have never thought of marriege.Umri mzuri ni miaka 25-30, na kigezo kikubwa ni kama anakipato cha kuweza kuitunza familia yake sio anaoa wazazi ndio wanahudumia mke na mume na watoto. Sidhani kama mke anatafutwa kwa kujaribu jaribu mahusiano na wanawake tofautitofauti. Miaka 40 atakua amechelewa sana let say amezaa akiwa na 45 itakuaje maana sio lazima ukioa tu unapata mtoto wengine haitokei hivyo. Mwambie zinaa mbaya na ni dhambi amuombe Mungu apate mke mwema amani ktkt ndoa mara zote ni neema ya Mungu tu. Wengine wameoana wakubwa sana lkn no peace , na wengine wameoana mapema wana peace. So marriege yenye peace ni kumuomba Mungu tu haina formula.