Recent content by irham

  1. irham

    Baada ya Wema kubwagwa, Diamond achafua hali ya hewa

    Hapana mkuu tuseme kura hazikutosha walikata😂😂😂
  2. irham

    Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

    Hivi inakuwaje mpaka net work inakuwa juu kwa mwanaumemwenzio nini hasa kinacho kusisimua kwa lidume?
  3. irham

    Mrejesho: Nimesafiri na BAJA 250 XLR kupitia mbuga ya Mikumi, kwa niliyoyaona sipiti tena

    Mkuu umeniwahi hii kauli😂😂😂
  4. irham

    Hivi jamani kwanini wanawake hamna mapenzi ya kweli?

    Jestina:we acha tu mapenzi yanauma hata kwa kukonyeza tu nini maandishi uyakute anachati na mtu mwingine kwa mwanzo wa 2 ni 1
  5. irham

    Ujerumani ni "Shamba la Bibi", na sisi tunangoja nini?

    Du atakuwa mzee wa vijisenti maana hata kuku akiibiwa ikulu nae yumo
  6. irham

    GX 110 Toyota Mark ii

    Mimi nina 6.5 utachukua?
  7. irham

    Mkoa wa Mbeya ndio nchi ya ahadi?

    Du unaijua mbeya unaisikia?
  8. irham

    Watumiaji wa voda, mnaweza kutumia site za Google leo?

    Mkuu voda ni wezi kupita kiasi juzi nimeweka ka 1000 kangu ninezima data asubuhi naangalia salio nakuta 744 ni wizi wa kimacho macho kbsa
  9. irham

    Eti Wema mzuri zaidi kumzidi Zari?

    Kama ni make up mpake bibi sub ufa tuone kama atakuwa kama zari
  10. irham

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni kweli mkuu wachezaji ni kama wafanyakazi wanaweza toka kampuni moja na kwenda nyingine ila na wao wawe wanakumbula fadhila mtu kama van pasi hakuwa na sababu ya kuondo wenga kamvumilia sana na majeruhi anakaa misim miwali ana cheza mechi tatu anaumia msim mzima alivyo pona akatimka na mfano...
  11. irham

    Supermarket inayomilikiwa na Wachina Dar yabagua Watanzania weusi

    Maumivu ya kichwa huanza pole pole na maumivu c mzaha na matibabu yake lazima yawe ya haraka leo wameanza na super market kesho watasema kimara marufuku kupita kwa kuwa wamenunua wao
  12. irham

    Biashara ya Kebabs za Vyura Nigeria

    Ni kweli mkuu maana niliwahi kwenda kwa wajomba zangu zambia wanakula panya na mawasha washa cku hiyo nilitapika mpaka nikaumwa
  13. irham

    Biashara ya Kebabs za Vyura Nigeria

    Mkuu nimecheka mpaka watu wamenishangaa hii kali
  14. irham

    Natafuta mume wa kunioa

    Jamani mie nampenda faiza foxy
Back
Top Bottom