Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkienda OT Man u wanawafunga....nafasi ya 4 inawahusu...

Shikamoo Mourinho.....

Duh hii ni hatari maana Arsenal kamzidi points 2 Man Utd na ana gemu mkononi ila bado kuna ambao wanaamini Arsenal wana matatizo zaidi ya Utd kweli M.Owen ana kundi kubwa la wapuuzi wenzie wanaomuamini.
No hard feelings though.
 
10462876_10153374820857259_4122183758023769430_n.jpg
 
Ulitaka ajipangaje mkuu??

Timu imecheza vizuri sana leo...Imeshambulia, imedefend na ilikuwa nzuri kila idara....Sema ni bahati yao tu Chelsea...

Timu iko vizuri na am sure msimu ujao itakuwa vizuri zaidi na kuwa moja ya title contenders...Mwaka huu tulianza vibaya na tunamaliza vizuri, Chelsea wao walianza vizuri na wanamaliza vizuri.....

"msimu ujao"... Ndiyo anthem yenu tena..
 
Ndugu unanipa mashaka na undestanding yako ya game

sio rahisi tukufunga tukicheza hivi....

it is a tactical approach ambayo ni ngumu sana kuitoboa....

tuna shinda our game in hand na INAKUWA 5 POINTS clear with manure kabla ya mechi yetu na wao

kumbuka wanapigika wale kirahisi ni kitu kidogo ku outsmart mbinu zao

Tuombe uhai MANURE hatufungi OT kwa form tuliyopo thats for sure i can even bet for it

kitu kingine kumbuka [Bookmark hii post]

hatupotezi any game to end of the season again

2ND PLACE + FA ni achievement kubwa sana itakuwa tumemaliza 2nd place 2005 mara ya mwisho

ukikataa facts wewe utakuwa na yako moyoni


Hivi mnategemea mtakwenda kuifunga ManU kwake kwa mpira km mliocheza Jana? Pale mnakwenda kufungwa tu....ata mfanyeje....mnafikiri LvG atakua kibonde tena kwamba mkifika mnampiga tu....nyie tulieni tu muone kz...
 
Ulitaka ajipangaje mkuu??

Timu imecheza vizuri sana leo...Imeshambulia, imedefend na ilikuwa nzuri kila idara....Sema ni bahati yao tu Chelsea...

Timu iko vizuri na am sure msimu ujao itakuwa vizuri zaidi na kuwa moja ya title contenders...Mwaka huu tulianza vibaya na tunamaliza vizuri, Chelsea wao walianza vizuri na wanamaliza vizuri.....


Ata nyie ni bahati yenu tu vinginevyo mlikua mmelia....
 
Duh hii ni hatari maana Arsenal kamzidi points 2 Man Utd na ana gemu mkononi ila bado kuna ambao wanaamini Arsenal wana matatizo zaidi ya Utd kweli M.Owen ana kundi kubwa la wapuuzi wenzie wanaomuamini.
No hard feelings though.

Kwani Owen mnamtiliaga maanani!?? hana lolote yule.. hajawahi kuitabiria aseno mema.. na anaumbuka msimu huu
 
kutokana na mafanikio ya timu mpaka sasa pengine asistaafu ila aliwahi kusema msimu uliopita kama asingeshinda FA angestaafu pia kujiuzulu kwa klopp kuna nipa mashaka Wenger asije mwachia kiti
Klopp nadhani destination yake kwa sasa ni pale Etihad.
 
Hivi mnategemea mtakwenda kuifunga ManU kwake kwa mpira km mliocheza Jana? Pale mnakwenda kufungwa tu....ata mfanyeje....mnafikiri LvG atakua kibonde tena kwamba mkifika mnampiga tu....nyie tulieni tu muone kz...

Tunashinda wacha mpira wa meneno mdomoni meengi

we ulikuwa unajaza server kuwa unatupiga kilaini kabisa na huna wasiwasi au sio wewe?

Umetupiga ngapi?
 
Tunashinda wacha mpira wa meneno mdomoni meengi

we ulikuwa unajaza server kuwa unatupiga kilaini kabisa na huna wasiwasi au sio wewe?

Umetupiga ngapi?


Mnashinda kitu gani nyie....wewe hukuamia Man U kwa mkopo ili sisi tufungwe...ulikua haujazi sarver? Au mkuki kwa nguruwe sio......tulia dawa ikuingie......
 

Mpira wa jana tumetoka suluhu, Chelsick ambao walitaka wapewe kombe J5 chacha wanachema wanataka kombe J2 chijui wataendelea kuimba hadi lini. Mwaka jana walitoka nunge, sifuri mfuto hawakuwa na kikombe chochote, sisi tunatetea FA cup, we still have a chance ya kutwaa kombe kwa mara ya pili mfululizo. Hilo hawana la kusema. Ni aibu kwa timu kama Chelsick kuanza kujisifia ubingwa wakati wanafahamu fika matokeo yao mengi yamekuwa ya kutumia underhand tacticks, oh chijui kuna campaign etc. When will they learn to win cleanly, Nay they will never, na hivi chacha wanaanza kuwewesekaweweseka maana watamkosa Cesc kwa mechi mbili mfululizo. This is how EPL goes they will never be worthy winners.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nzi upo wapi kaka? Nilikwambia nitaisaka hii post,jitayarishe kutimiza hii ahadi msimu ujao.
Cc Belo, DonDonald, RRONDO, Malafyale,

Mkuu Wacha kuwavua watu wazima nguo khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Alikuwa anamaanisha Loser Fools peke yao. Ding ... ... dong ... .... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nzi upo wapi kaka? Nilikwambia nitaisaka hii post,jitayarishe kutimiza hii ahadi msimu ujao.
Cc Belo, DonDonald, RRONDO, Malafyale,

Hapo hachomoki na utakuwa mwisho wa kujiapiza hapa jukwaani

kibaya kabisa tukamchape pale OT

mkuu Nzi upo?

khekhekheeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hao waliomzomea Mkuu watakuwa MANU lol!

Ni kweli mkuu wachezaji ni kama wafanyakazi wanaweza toka kampuni moja na kwenda nyingine ila na wao wawe wanakumbula fadhila mtu kama van pasi hakuwa na sababu ya kuondo wenga kamvumilia sana na majeruhi anakaa misim miwali ana cheza mechi tatu anaumia msim mzima alivyo pona akatimka na mfano mwingine helb alikuja pale ana anguka anguka alivyo fundishwa akajua akaondoka kwa dharau
 
Ni kweli mkuu wachezaji ni kama wafanyakazi wanaweza toka kampuni moja na kwenda nyingine ila na wao wawe wanakumbula fadhila mtu kama van pasi hakuwa na sababu ya kuondo wenga kamvumilia sana na majeruhi anakaa misim miwali ana cheza mechi tatu anaumia msim mzima alivyo pona akatimka na mfano mwingine helb alikuja pale ana anguka anguka alivyo fundishwa akajua akaondoka kwa dharau

Hleb anajutia mpaka Kesho


amesema mara nyingi sana
 
Back
Top Bottom