GX 110 Toyota Mark ii

GX 110 Toyota Mark ii

Hivyo Avatar yako ina uhusiano wowote na hizo shughuli zako 'binafsi' ulizokuwa unafanya na sasa umemaliza unaondoka nchini? Swali la pili bwana bosi kwanini uliagiza gari mpya kabisa kwa shughuli ndogo 'binafsi' ambayo ulijua ukomo wake hauko mbali? Hayo tu boss!
 
Habari wana JF,

Ninauza gari yangu Toyota mark II
mwaka 2003
Namba T 738 CLQ
KM 101000

Gari ipo katika hali nzuri sana nimeagiza mwenyewe toka japan kwajili ya shughuli zangu na sasa nimemaliza shughuli zangu za hapa nchini hivyo nasafiri nje sasa nimeamua kuuza kwakuwa sihitaji tena. Kwa wateja walio serious bei ni milioni tisa na laki tano 9,500,000. Napatikana hapa Dar es salaam.

Asanteni

Mimi nina 6.5 utachukua?
 
Hivyo Avatar yako ina uhusiano wowote na hizo shughuli zako 'binafsi' ulizokuwa unafanya na sasa umemaliza unaondoka nchini? Swali la pili bwana bosi kwanini uliagiza gari mpya kabisa kwa shughuli ndogo 'binafsi' ambayo ulijua ukomo wake hauko mbali? Hayo tu boss!

Hahaaaa. Imebidi niangalie avatar

Yaani huyu cenzo huyuuuu. Mnnnhhh.
 
Last edited by a moderator:
kaazi kwelikweli na conspiracy theories za kibongo!
Sio conspiracy theories bro na of course you are not bound to my thoughts. Ila xtrail na harrier old model ukishanunua jua in LA kwako.

Labda umpate asiejua gari anae enda na drift kisa yamejaa mjini na yana body nzuri.
 
Sio conspiracy theories bro na of course you are not bound to my thoughts. Ila xtrail na harrier old model ukishanunua jua in LA kwako.

Labda umpate asiejua gari anae enda na drift kisa yamejaa mjini na yana body nzuri.

Hahahaa, nakuhakikishia kwamba MNADANGANYANA, kama una xtrail au harrier old model umekwama nayo sema tukuletee pesa. Hizo kila siku tunaziuza kama kawaida, last week nimeuza harrier old model number B, 12M CASH! Mtaani watu huwa wanadanganyana sana, gari A ina matatizo sana...kimeo sijuwi nini na nini, kumbe vimeo ni mafundi wa mitaani wasiotaka kwenda shule! Gari imetoka Japan inachapa kazi miaka kumi na kitu haina shida, ifike Tandale tu iwe na matatizo bado huoni tatizo lilipo?!!!
 
Sio conspiracy theories bro na of course you are not bound to my thoughts. Ila xtrail na harrier old model ukishanunua jua in LA kwako.

Kwani sista kwa haya maelezo yako una uhakika jamaa anauza hizo gari 2 ulizozitaja?.
 
Hahahaa, nakuhakikishia kwamba MNADANGANYANA, kama una xtrail au harrier old model umekwama nayo sema tukuletee pesa. Hizo kila siku tunaziuza kama kawaida, last week nimeuza harrier old model number B, 12M CASH! Mtaani watu huwa wanadanganyana sana, gari A ina matatizo sana...kimeo sijuwi nini na nini, kumbe vimeo ni mafundi wa mitaani wasiotaka kwenda shule! Gari imetoka Japan inachapa kazi miaka kumi na kitu haina shida, ifike Tandale tu iwe na matatizo bado huoni tatizo lilipo?!!!

Well said chief
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom