Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Umechezea ujana sasa hivi unahangaika pole dada mchumba hatafutwi hivyo ww jitunze kuwa na subira mwombe mungu
 
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.

Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.


Karibuni,kejeli sio nzuri

Nina vigezo nichek 0755485448
 
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.

Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.


Karibuni,kejeli sio nzuri

Kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako
Yohana 4:18
 
How old are you?

BTW nawe ni manka. Sema sifa zako zijitosheleze....mfano mi napenda weupe weupe hivi. Niambie kabisa km una rangi ya tyre km mimi nijue hunifai.

Umri nao mtihani, 30+ mara nyingi wameshaoa labda awe widowed. Do u prefer a widower?
 
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.

Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.


Karibuni,kejeli sio nzuri

Miaka 30-40 :what: sasa siuseme unataka mume wa mtu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom