Poa mkuu, lengo langu ni kujua hiyo wilaya ya sikonge ni kabila gani maarufu linalipatikana huko?
Nauli toka tabora mjini hadi huko ni shingapi?
Shughuli zao kubwa ni nini?
Kwa kuanzia tu ni hayo mkuu
Merry Christmas kwa wana jf wote, kama kichwa kinavojieleza, naomba kama kuna mtu anaetokea mkoa wa tabora wilaya ya sikonge, please naomba tuwasiliane kuna mambo nahitaji kujua toka huko.
Ahsanteni, tusherehekee kwa amani
Mkuu kuku wangu wana wiki 19 ni wa kienyeji pure, kuhusu composition naomba nikutajie kesho nikienda bandani, ni mbali kidogo nilipo kwa sasa.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu, be blessed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.