Wanaume mna kazi

Wanaume mna kazi

Ndio majukumu yake
Huo ndio uanaume yna4 na tunapenda sana kuyafanya hayo kwa ufahari na kujidai kabisa, tena ukipata mwanamke asietaka kugharamiwa unakua unajiuliza marambilimbili kua kuna shida gani!? Na ni very exceptional cases
 
Jamani nimekaa hapa nimewaza wanaume shughuli mnayo. Unakuta mwanaume anamhitaji mwanamke fulani anafanya yafuatayo:-
1. Anamlipia Tax au Uber mpaka sehemu alipo.
2. Anamnunulia chakula na vinywaji.
3. Analipa chumba.
4. Wanapeana mdinyo.
5. Asubuhi mwanamke anakunywa soup na anatakiwa apewe hela na gharama ya usafiri kumrudisha alipotoka.

Wanaume mna kazi jamani khaaa bora mimi mwanamke.

Leo nimewaonea huruma wanaume maana kama vile yamenikuta.
Haya ni maisha yaliyopitwa na wakati.

Bila shaka unaiongelea primitive society ambapo mwanamke anaangaliwa kama chombo cha starehe.
 
Jamani nimekaa hapa nimewaza wanaume shughuli mnayo. Unakuta mwanaume anamhitaji mwanamke fulani anafanya yafuatayo:-
1. Anamlipia Tax au Uber mpaka sehemu alipo.
2. Anamnunulia chakula na vinywaji.
3. Analipa chumba.
4. Wanapeana mdinyo.
5. Asubuhi mwanamke anakunywa soup na anatakiwa apewe hela na gharama ya usafiri kumrudisha alipotoka.

Wanaume mna kazi jamani khaaa bora mimi mwanamke.

Leo nimewaonea huruma wanaume maana kama vile yamenikuta.
Boya yupi huyo aliyekupa Huduma zote hizo ?
 
Itakuwa wanaume wa huko dar, sie wa mikoani hatufanyagi hayo mambo.
 
Ndo maana mi huchukua dada poa mkikutana tu hakuna sijui chakula sijui nini, mnapanga bei mkikubaliana unapiga unasepa na hakuna kufuatiliana.... mfano huku kwetu 15,000 inatosha chumba na bao 2. tena unachagua demu mkali na hpo umelipa kipapaa
 
Huduma zote hizo kwani nagombea ubunge au......ukibahatika zaidi unaishia kula msosi tu.
 
Jamani nimekaa hapa nimewaza wanaume shughuli mnayo. Unakuta mwanaume anamhitaji mwanamke fulani anafanya yafuatayo:-
1. Anamlipia Tax au Uber mpaka sehemu alipo.
2. Anamnunulia chakula na vinywaji.
3. Analipa chumba.
4. Wanapeana mdinyo.
5. Asubuhi mwanamke anakunywa soup na anatakiwa apewe hela na gharama ya usafiri kumrudisha alipotoka.

Wanaume mna kazi jamani khaaa bora mimi mwanamke.

Leo nimewaonea huruma wanaume maana kama vile yamenikuta.
Samak yake chambo
 
Unawasilimua wana JF vile ulivyodinywa usiku kucha...

Wala siyo mateso, wanaume tumeumbwa kumiliki, wanawake mmeumbwa kumilikiwa...


Cc: mahondaw
Kwani kudinywa usiku kucha ni ajabu. [HASHTAG]#stupidass[/HASHTAG]
 
kuna Rasta aliletewa gari na dalali akaichunguza mnoo, na akaitilia mashaka, sasa ili awatoke wale madalali akasingizia rangi, hakuipenda ile gari kwa rangi yake, basi wakamwambia mkuu usijali tutakutaftia nyingine, wakakaa kama wiki hivi wakamcheki mshkaji gari imepatikana na hii ni ipo poah kabisa, basi mdau akaenda icheki na akaikubali akanunua, ila ukweli ni kwamba alinunua ile ile gari aliyoikataa mwanzo, wahuni wamebadilisha rangi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom